Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Wizar ya Maendeleo ya Mifugo - Tanzania, 2006-12)
    Sekta ya Mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa Taifa, kuongeza kipato kwa Watanzania wanaotegemea mifugo, na kutoa fursa za ajira sanjari na kuhifadhi rasilimali za Taifa. Sera hii inaeleza nia ya Serikali ...
  • Ngugi, Charles C; Bowman, James R; Omolo, Bethuel (Aquaculture Collaborative Research Support Program (ACRSP), 2007)
    Kenya is endowed with numerous aquatic resources with aquacultural potential. It has highly varied climatic and geographic regions, covering a part of the Indian Ocean coastline, a portion of the largest freshwater lake ...
  • Mwandishi Hajulikani (Jamii Forum, 2007)
    Kuna usemi flani unatumiwa na watu wengi sana. unasema; “kazi ndio msingi wa maendeleo ya mtu yeyote” . Hata mimi nakubaliana na usemi huu kwani ni kweli kabisa kazi ndio msingi wa hatua yoyote ya maendeleo ya mtu yeyote ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Kipeperushi kinachoelezea jinsi ya kulisha mifugo majani ya muhogo wakati wa kiangazi
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Reseach Institute - KARI, 2008)
    Vifo vya nguruwe wachanga hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa. Utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama: Matatizo ya kupumua na mengineyo.
  • Muhairwa, Amandus P; Msoffe, Peter L; Mtambo, Madundo M. A; Ashimogo, Gaspar (PANTIL, 2008)
    Mwongozo wa ufugaji wa kuku wa asili katika kuboresha maisha ya wananchi wanaoishi vijijini na mijini.
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2008)
    Ufugaji wa kuku ni nyenzo nzuri ya kujipatia kipato katika kaya kwa sababu ufugaji wa kuku hauhitaji mtaji mkubwa na hauna kazi kubwa kiuendeshaji. Katika ufugaji huria kuku hujitafutia chakula wenyewe. Pia inapowezekana ...
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelhood Development Company - RLDC, 2008)
    Kwa kawaida au katika hali halisi, kazi ya kulea vifaranga hufanywa kuku mwenyewe. Hivyo ili kulea vifaranga, mfugaji ni lazima aige kuku anavyofanya. Ikumbukwe kuwa vifaranga husumbuliwa zaidi na hali mbaya ya hewa, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Ng’ombe anayelishwa nyasi pekee hawezi kufikia upeo wake wa maziwa. Hivyo, kuna haja ya kuwapa nyongeza. Nyongeza za kununua kama vile chakula cha ng’ombe kinakisiwa kuwa asilimia 20 ya gharama yote ya maziwa na hiv ...
  • Mwandishi Hajulikani (Mfuko wa Uhifadhi Wanyamapori Afrika (AWF), 2009)
    Mwongozo huu umeandaliwa ili kusaidia jamii na watunga sera katika ngazi ya jamii na kitaifa kufanya maamuzi na uchaguzi sahihi kuhusu matumizi ya ardhi, biashara, na sera za kitaifa kwa maeneo ya wafugaji, hasa nyika za ...
  • Mgongo, F. O. K; Mbassa, G. K; Kashoma, I; Luziga, C (PANTIL, 2009)
    Josho la kuogeshea mifugo hususani ng'ombe ni njia rahisi na va ufanisi mkubwa va matumizi va dawa za kuua kupe. Hata hivyo, njia hii isipotumika vizuri, ufanisi wake hupungua au haupatikani kabisa. Hivvo ni muhimu josho ...
  • Mbassa, G. K; Mgongo, F. O. K; Luziga, C; Kashoma, I. P. B; Kipanyula, M. J (PANTIL - SUA, 2009)
    Katika nchi za Afrika ya Mashariki, Kati na Kusini magonjwa makuu ya mifugo ni yale yanayosababishwa na viini vidogo vya' chembechembe moja vinavyoitwa Protozoa, ambavyo husambazwa kwa wanyama na aina mbalimbali za kupe ...
  • Mwandishi Hajulikani (Association for Strengthening Agricultural Research in Eastern and Central Africa - ASARECA,, 2009)
    Kama msafirishaji wa maziwa, unafahamu vyema jinsi jinsi maziwa yanavyoweza kuharibika haraka kama hatayunzwa na huhifadhiwa vizuri au hayatasafirishwa kwa haraka. Hivyo basi, ni muhimu kuwa na uelewa wa kutosha na stadi ...
  • Mbassa, Gabriel K. (Program ya PANTIL ( Chuo kikuu cha Sokoine), 2009-03-12)
    Katika nchi za Africa mashariki, kati na kusini magonjwa makuu ya mifugo ni yale yanayosababishwa na viini vidogo vya chembechembe vinavyoitwa protozoa ambavyo husambazwa kwa mifugo na aina mbalimbali za kupe na ndorobo. (mbungo)
  • Mellau, Leasakiti,B; Mbassa, Gabriel K.; Mgongo, Frederick O. K.; Silayo, Richard S. (Sokoine University of Agriculture, 2009-03-20)
    kitabu hiki cha utunzaji wa ndama wa asili kimejikita katika kutoa elimu juu ya utunzaji wa ndama wa asili ikiwemo pamoja na magonjwa yanayo wasumbua .Kitabu hiki kimeeleza kwa undani juu ya swala la utunzaji wa ndama wa ...
  • Makundi, Rhodes H. (SUA, 2009-11-25)
    Rodents are a mysterious group of animals. They are the largest groups of mammals in terms of species and in numbers. Thera are more than 2200 species which have been described to date, making up 42% of the mammal species.
  • Lekule, F. P; Muhairwa, A; Ngowi, Helena; Mushi, D; Kimbi, E. C (a Mradi wa SLIPP - Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo - SUA, 2010)
    Ufugaji wa Nguruwe ni kati ya shughuli zinazokuwa haraka katika Afrika Mashariki na ya Kusini. Ukuaji wa miji na ongezeko la watu kumeendana na ongezeko kubwa la mahitaji ya protini ya wanyama. Uwezo wa kukua haraka, ubora ...
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2010)
    Mwaka 2008/9 RLDC ilifanya majaribio ya mfumo wa ufugaji wa kuku wa asili kupitia vikundi vidogo vya wafugaji wa vijijini katika vijiji vya Bupandagila na Mbiti, Wilayani Bariadi katika Mkoa wa Shinyanga. Huu ni ufugaji ...
  • Katule, A. M; Mnembuka, B. V; Madalla, N; Lamtane, H; Mnubi, R (PANTIL - SUA, 2010)
    Ufugaji wa samaki huweza kufanyika kwa kutumia rasilimali zinazopatikana katika mazingira ya mkulima na pia husababisha matumizi bora ya rasilimali za mkulima. Kitabu hiki kinasisitiza ufugaji mseto wa samaki, ikiwa na ...
  • Mwandishi Hajulikani (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, 2010)
    Kipeperushi kinachoelezea ufugaji wa pweza ndani ya kipindi cha miezi 12 na kuanza kupata chakula au biashara

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account