DSpace Repository
DSpace is a digital service that collects, preserves, and distributes digital material. Repositories are important tools for preserving an organization's legacy; they facilitate digital preservation and scholarly communication.
Jumuhiha katika dispesi
Recently Added
-
Idara ya ukuzaji viumbe maji
(Wizara ya Mifugo na Uvuvi,, 2022-03)
Kaa ni kiumbe anayeishi kwenye
mchanganyiko wa maji bahari na maji baridi.
Jamii ya kaa anayefugwa kwa wingi hapa
nchini anajulikana kama kaa-ungo na kitaalam
hujulikana kama Scylla serrata (mud crab au
mangrove crab). ...
-
Tarimo, Ronald, B
(Sokoine University of Agriculture, 2021-06-21)
Kitabu hiki Jifunze Ufugaji Bora wa Samaki Aina ya Sato na Kambale kimeandikwa kutokana na uhaba mkubwa tulionao nchini wa majarida na vitabu vyenye lengo la kumsaidia Mtanzania kuongezaupatikanaji wa chakula na kukuza ...
-
Mwandishi Hajulikani (Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo, 2021-11)
Nanasi ni tunda la kitropiki, linalopendwa na walaji wengi kwa sababu ya ladha yake tamu na harufu yake nzuri. Tunda hili laweza liwa mara tu baada ya kuvunwa, baada ya kulipika, au kama juisi. Nanasi ni chanzo kizuri cha ...
-
Mwandishi Hajulikani (Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo, 2016)
Kilimo cha vitunguu maji ni muhimu sana hapa Tanzania. Vitunguu vinaweza kutumika kama
zao la chakula au la biashara kwa aina zote za wakulima, wakubwa na wadogo.
Zao la vitunguu linazalishwa kutokana na mbegu, na miche ...
-
Bodi ya tumbaku
(Bodi ya tumbaku tanzania, 2022-11-23)
Tumbaku huzalishwa kwa ajili ya majani yake,majani ya tumbaku yanapo komaa
huvunwa na tumbaku hutumika hasa kutengeneza sigara.Aina za tumbaku zinazo limwa Tanzania ni tumbaku ya mvuke (VFC) na tumbaku ya moshi (DFC). ...
View more