Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Brown, Richard Y. (U. S. DEPARTMENT OF AGRICULTURE, 1961-05-08)
    T IlE DAIRY cow'S udder (fig. 1) has been highly developed by cen turies of careful, selective breeding. It is complex in its structure and physiology. The secretory tissue of the gland is made up of great numbers ...
  • Mwandishi Hajulikani (Ukulima wa kisasa, 1982-06)
    Kichaa cha mbwa ni ugonjwa wa hatari sana unaoleta vifo kwa binadamu na wanyama.Una dalili zinazoambatana na mishipa ya fahamu ambazo mwanzo huwa ni kuongezeka kwa furaha au hasira,kupoteza fahamu na mwishowe kupooza kwa ...
  • Mwandishi Hajulikani (ALCOM/FAO/SUA, 1984)
    Jarida hili linajumuisha kwa pamoja majarida matatu; Jinsi ya kutengeneza bwawa lako la samaki, Jinsi ya kulisha samaki wako na Jinsi ya kutunza bwawa lako la samaki yaliyotolewa na ALCOM kwa matumizi ya jimbo la mashariki, ...
  • Inades-formation, Tanzania (INADES-FORMATION, 1987-11-13)
    Kijitabu kidogo hiki kina mambo ya msingi. Yafaa ukisome kabla hujaanza kujifunza. Kinaelekeza mambo muhimu matano: Masomo haya yatamsaidia na kumfaidi nani?, Zipo faida gani katika kujifunza?, Yakupasayo kujua juu ya ...
  • Magembe, A. (Ukulima wa kisasa, 1993-09)
    Kilimo na ufugaji wa ngombe,mbuzi au kondoo ni shughuli ambazo zina manufaa mengi kwa mkulima,kwani zinategemeana sana.Mkulima ambaye pia ni mfuaji hunufaika zaidi kuliko yule asikuwa na mifugo:na mfugaji naye pia hunufaika ...
  • Mwandishi Hajulikani (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), 1994)
    Kitabu hiki kimechapishwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (FAO). Dhumuni ni kumpatia mkulima elimu juu ya ufugaji bora wa samaki katika maji matamu (yasio na chumvi) ikiwa ni pamoja na kufahamu namna ...
  • Ravindran, V (Food and Agricultural Organization - FAO, 1995)
    Mwongozo uliotolewa wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa unaoelezea na kuchambua matumizi ya muhogo na viazi vitamu kama chakula cha wanyama.
  • Mwandishi Hajulikani (Heifer Project International, 1996)
    Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba ...
  • Mwandishi Hajulikani (CENTRAL POULTRY DEVELOPMENT ORGANISATION (SOUTHERN REGION) -India, 1998)
    Ducks occupy an important position next to chicken farming in India. They form about 10% of the total poultry population and contribute about 6-7% of total eggs produced in the country. Ducks are mostly concentrated in the ...
  • Laswai, G. H; Mnembuka, B. V; Lugeye, S. C (SUA - TU Linkage Project, 2000)
    Kijitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya wafugaji wa sungura katika Tanzania. Kinajihusisha zaidi na kanuni muhimu ambazo mfugaji wa sungura anapashwa kuzifuata au kuzingatia wakati akitunza wanyama hawa.
  • TARP II-SUA Project (Sokoine university of agriculture, 2002)
    Utambuzi yakinifu wa magonjwa ya ndege wafugwao ni mgumu kupita ule wa magonjwa ya mifugo mengine. Hii ni kwa sababu dalili za ugonjwa kwa mnyama hai peke yake hazitoshi kusema ugonjwa usumbuao kwa ...
  • Laswai, G. H.; Mutayoba, S. K. (SUA, 2002-01-23)
    Balancing feeds for monogastric animals requires reliable information with regard to the nutritional values of the available feed resources. Such information is limited for Tanzanian feedstuffs. In most cases feed formulations ...
  • Prince, K. W. T (2002-04-19)
    REPTJ LE skins, such as crocodile, alligator, lizard and snake, make very attractive and durable leather. Unfortunately, owing to faulty preparation, reptile skins often reach the tanners in too bad a condition to tan. The ...
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2004)
    Kwa mazingira yetu haya ya joto, unyevunyevu mkubwa na jua kali hivyo katika uchaguzi wa sehemu sahihi kwa ajili ya ufugaji wa sungura inategemeana na vitu vifuatavyo;  Mahali maalum  Hali ya hewa  Mtaji  Ukubwa wa mradi.
  • Mugasha, A. G. (Mradi wa uhakika wa chakula na pato la kaya kwa wakulima wadogowadogo Tanzania (TARP II-SUA Project), 2004-08-19)
    Mifugo aina ya ngombe, mbuzi, kondoo na punda wanahitaji vyakula vya aina kuu tano, ili waweze kukua na kutoa maziwa mengi au kufanya kazi mbalimbali.
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2005)
    Ufugaji wa sungura ni moja wapo ya chanzo kizuri cha mapato nchini Tanzania kama watanzania watafanya yafuatayo, • Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji. • Kufanya tathmini ya rasilimali alizonazo ...
  • Lyamchai, C. J; Kweka, E. S; Mwikari, M. M; Kingamkono, M. N; Wambugu, C (World Agroforestry Centre - ICRAF, 2005)
    Kaliandra (Calliandra calothyrsus) ni mmea aina ya mikunde wenye asili ya Amerika ya Kati na Mexico. Ulipandwa mara ya kwanza nchini Indonesia kwa ajili ya kivuli katika mashamba ya kahawa, lakini kwa sasa mti huo umeonyesha ...
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2006)
    Ufugaji wa kuku ni njia rahisi ya kujipatia kipato na lishe bora kwa kaya nyingi za vijijini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba: • Ufugaji hauhitaji mtaji mkubwa kuuanzisha. • Ni rahisi kuusimamia. • Faida inapatikana ...
  • Mwandishi Hajulikani (Food and Agricultural Organization - FAO, 2006)
    Kwa karne nyingi wafugaji wamekuwa wakimudu mifugo yao na nyanda za malisho kwa kuhamahama kufuatana na majira, wakitunza maeneo ya malisho kwa msimu wa kiangazi, wakihifadhi aina fulani fulani za miti, na kujiepusha na ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizar ya Maendeleo ya Mifugo - Tanzania, 2006-12)
    Sekta ya Mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa Taifa, kuongeza kipato kwa Watanzania wanaotegemea mifugo, na kutoa fursa za ajira sanjari na kuhifadhi rasilimali za Taifa. Sera hii inaeleza nia ya Serikali ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account