Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Idara ya ukuzaji viumbe maji (Wizara ya Mifugo na Uvuvi,, 2022-03)
    Kaa ni kiumbe anayeishi kwenye mchanganyiko wa maji bahari na maji baridi. Jamii ya kaa anayefugwa kwa wingi hapa nchini anajulikana kama kaa-ungo na kitaalam hujulikana kama Scylla serrata (mud crab au mangrove crab). ...
  • Lukuyu, Ben; Githinji, Julius; Lukuyu, Margareth (International Livestock Research Institute - ILRI, 2018-04)
    Kipeperushi kinachoelezea upandaji na utunzaji wa majani aina ya Brachiaria kwa ajili ya malisho ya wanyama kwa ajili ya uzalishaji bora wa nyama na maziwa.
  • Ravindran, V (Food and Agricultural Organization - FAO, 1995)
    Mwongozo uliotolewa wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa unaoelezea na kuchambua matumizi ya muhogo na viazi vitamu kama chakula cha wanyama.
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi na Uzalishaji wa Wanyama - SUA, 2017)
    Maelezo mafupi juu ya uzalishaji bora wa chakula cha mifugo kama ngo'mbe, mbuzi na wengineo
  • Mwandishi Hajulikani (Samyak Infotech Pvt. Ltd, 2019)
    Kuku ni jamii ya ndege mwenye joto linalo fikia nyuzi (37.5 Centigrade). Japo kama ilivyo kwa viumbe wengine joto hilo linaweza kupanda au kushuka kidogo kutokana na sababu za kimazingira. Hapo zamani hapakuwa na uwezekano ...
  • Kifaro, G. C; Mtenga, L. A; Kasuku, A. A; Ndemanisho, E. E; Kimbita, E. N; Msalya, G; Mushi, D. E; Max, R. A (EPINAV - SUA, 2013)
    Utaalamu na elimu juu ya utunzaji bora wa mbuzi hawa haujaenea kiasi cha kutosha katika taifa letu. Tangu mwaka 1994, Idara ya Sayansi ya Wanyama na Uzalishaji (DASP) ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), imekuwa ...
  • Kifaro, C. G; Laswai, G. H; Kerario, I. I; Kibasu, I; Madalla, N; Mayunga, N (Kitivo cha Kilimo, Idara ya Sayansi za Wanyama - SUA, 2014)
    Faidika na Sungura - Hutoa nyama nyingi kwa haraka • Nyama nyeupe isiyo na mafuta mengi • Huzaa watoto wengi kwa mwaka • Umbile lake ni dogo na rahisi kumfuga • Ulishaji wake ni wagharama ndogo • Nyumba ni rahisi ...
  • Mgongo, F. O. K; Mbassa, G. K; Kashoma, I; Luziga, C (PANTIL, 2009)
    Josho la kuogeshea mifugo hususani ng'ombe ni njia rahisi na va ufanisi mkubwa va matumizi va dawa za kuua kupe. Hata hivyo, njia hii isipotumika vizuri, ufanisi wake hupungua au haupatikani kabisa. Hivvo ni muhimu josho ...
  • Mwandishi Hajulikani (Taasisi ya Elimu ya Kujiendeleza - ICE (SUA), 2017)
    Kipeperushi kinachoelezea utunzaji wa kuku wa asili
  • Mellau, Leasakiti,B; Mbassa, Gabriel K.; Mgongo, Frederick O. K.; Silayo, Richard S. (Sokoine University of Agriculture, 2009-03-20)
    kitabu hiki cha utunzaji wa ndama wa asili kimejikita katika kutoa elimu juu ya utunzaji wa ndama wa asili ikiwemo pamoja na magonjwa yanayo wasumbua .Kitabu hiki kimeeleza kwa undani juu ya swala la utunzaji wa ndama wa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Reseach Institute - KARI, 2008)
    Vifo vya nguruwe wachanga hupunguza faida ya biashara ya nguruwe kwa kupunguza idadi ya nguruwe wazima wa kuuzwa. Utunzaji mzuri wa nguruwe wachanga huepusha vifo vinavyotokana na shida kama: Matatizo ya kupumua na mengineyo.
  • Mwandishi Hajulikani (Ujasiriamali blog, 2016-08)
    Ufugaji wa nguruwe hapa nchini umeanza siku nyingi hususani katika mikoa ya nyanda za juu kusini (Mbeya, Rukwa, Iringa, na Ruvuma), Kaskazini (Manyara, Arusha, na Kilimanjaro). Aina za nguruwe wanaofugwa hapa nchini ni ...
  • Mwandishi Hajulikani (Association for Strengthening Agricultural Research in Eastern and Central Africa - ASARECA,, 2009)
    Kama msafirishaji wa maziwa, unafahamu vyema jinsi jinsi maziwa yanavyoweza kuharibika haraka kama hatayunzwa na huhifadhiwa vizuri au hayatasafirishwa kwa haraka. Hivyo basi, ni muhimu kuwa na uelewa wa kutosha na stadi ...
  • Kajuna, F (Livestock Training Agency - LITA, 2017)
    Mhadhara juu ya uwepo wa sumu kuvu katika vyakula vya kuku - Sumu kuvu - kemikali za sumu (mycotoxins) za fangasi (kuvu) - kwenye vyakula. Zipo aina nyingi – aflatoxins ndio hatari zaidi ukanda wa kitropiki kama Tanzania. ...
  • Ndemanisho, Edith (Sokoine University of Agriculture, 2021-04-12)
    Kitabu hiki, “Uzalishaji Bora wa Kondoo wa Nyama” kimetayarishwa na mtaalam na mfundishaji wa somo la mbuzi na kondoo kwenye Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (kwa zaidi ya miaka 35), Profesa Edith Ndemanisho. Lengo kubwa ...
  • Ndemanisho, Edith E (Sokoine university of agriculture, 2018)
    Kitabu hiki cha “Uzalishaji bora wa mbuzi wa nyama" kimetayarishwa na mtaalam na muelimishaji wa somo la mbuzi na kondoo kwenye Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine kwa Aiidi ya miaka 35, Profesa Edith Ndcmanisho. Lengo kubwa ...
  • Batamuzi, E. K. (TARP II-SUA Project, 2014-11-16)
    Chuo Kikuu cha Sokoine Cha Kilimo kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo na Chakula, na Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Norway, kinatekeleza mradi huu wa utafiti wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima Wadogowadogo ...
  • Tarimo, Ronald, B (Sokoine University of Agriculture, 2021-06-21)
    Kitabu hiki Jifunze Ufugaji Bora wa Samaki Aina ya Sato na Kambale kimeandikwa kutokana na uhaba mkubwa tulionao nchini wa majarida na vitabu vyenye lengo la kumsaidia Mtanzania kuongezaupatikanaji wa chakula na kukuza ...
  • Mwandishi Hajulikani (Swahili Blog, 2019-04-30)
    UZALISHAJI WA NG’OMBE WA NYAMA KIBIASHARA (Intensive Beef Production) : Mfumo wa sasa wa uzalishaji wa nyamaunahusisha uzalishaji wa mifugo ya nyama tangu ndama hadi kufikia kuuzwa. Utaratibu huu ni wa gharama kubwa sana, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Kipeperushi kinachoelezea jinsi ya kulisha mifugo majani ya muhogo wakati wa kiangazi

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account