Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Brown, Richard Y. (U. S. DEPARTMENT OF AGRICULTURE, 1961-05-08)
    T IlE DAIRY cow'S udder (fig. 1) has been highly developed by cen turies of careful, selective breeding. It is complex in its structure and physiology. The secretory tissue of the gland is made up of great numbers ...
  • BBC (BBC, 2019-06-05)
    Zanzibar katika kisiwa cha Uzi shughuli adimu ya ufugaji wa majongoo bahari, ni moja kati ya mradi mikubwa unaotarajiwa kuwa chanzo cha mapato,ajira na fursa muhimu ya uhifadhi wa viumbe bahari ambao katika siku za hivi ...
  • Mwandishi Hajulikani (Jamii Forum, 2007)
    Kuna usemi flani unatumiwa na watu wengi sana. unasema; “kazi ndio msingi wa maendeleo ya mtu yeyote” . Hata mimi nakubaliana na usemi huu kwani ni kweli kabisa kazi ndio msingi wa hatua yoyote ya maendeleo ya mtu yeyote ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2016-12)
    Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi,mbolea na hutumika kama wangyama kazi. Zaidi ya asilimia95 ya ng,ombe na hutumika kama wanyama kazi. Zaidi ya asilimia 95 ya ng’ombe ...
  • Mwandishi Hajulikani (FARM Africa, 2014)
    FARM Africa ni shirika lisilo la kiserikali, na shughuli zake nyingi zimejikita kati kuchangia kupunguza umaskini wa Mtanzania wa hali yachini. Shirika hili linafanya shughuli zake zaidi katika Wilaya zaBabati, Mbulu ...
  • Madalla, N; Urio, N; Ngomalilo, G; Mkata, K (2017)
    Kipeperushi kinachoelezea ufugaji bora wa ng'ombe wa mazima - mitamba
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeeds Ltd, 2017)
    Mada iliyowasilishwa katika semina - Chalinze iliyogusia - UMUHIMU WA UFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA KWA BINADAMU. Huongeza kipato (Familia Vs Taifa). Chanzo cha ajira. Huboresha lishe kwa binadamu. Huongeza upatikanaji ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2017-05)
    “Ufugaji wa Nguruwe ni lazima uwe wa kisasa ili kupata mazao bora. Unaweza kupata kila unachohitaji wewe, familia na hata ndugu zako kutokana na ufugaji wa nguruwe”, anasema Bwana Lomaiyani Molel kutoka Arusha. Jamii ...
  • Lekule, F. P; Muhairwa, A; Ngowi, Helena; Mushi, D; Kimbi, E. C (a Mradi wa SLIPP - Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo - SUA, 2010)
    Ufugaji wa Nguruwe ni kati ya shughuli zinazokuwa haraka katika Afrika Mashariki na ya Kusini. Ukuaji wa miji na ongezeko la watu kumeendana na ongezeko kubwa la mahitaji ya protini ya wanyama. Uwezo wa kukua haraka, ubora ...
  • Mwandishi Hajulikani (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), 1994)
    Kitabu hiki kimechapishwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (FAO). Dhumuni ni kumpatia mkulima elimu juu ya ufugaji bora wa samaki katika maji matamu (yasio na chumvi) ikiwa ni pamoja na kufahamu namna ...
  • Laswai, G. H; Mnembuka, B. V; Lugeye, S. C (SUA - TU Linkage Project, 2000)
    Kijitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya wafugaji wa sungura katika Tanzania. Kinajihusisha zaidi na kanuni muhimu ambazo mfugaji wa sungura anapashwa kuzifuata au kuzingatia wakati akitunza wanyama hawa.
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2005)
    Ufugaji wa sungura ni moja wapo ya chanzo kizuri cha mapato nchini Tanzania kama watanzania watafanya yafuatayo, • Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji. • Kufanya tathmini ya rasilimali alizonazo ...
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2004)
    Kwa mazingira yetu haya ya joto, unyevunyevu mkubwa na jua kali hivyo katika uchaguzi wa sehemu sahihi kwa ajili ya ufugaji wa sungura inategemeana na vitu vifuatavyo;  Mahali maalum  Hali ya hewa  Mtaji  Ukubwa wa mradi.
  • Katule, A. M; Mnembuka, B. V; Madalla, N; Lamtane, H; Mnubi, R (PANTIL - SUA, 2010)
    Ufugaji wa samaki huweza kufanyika kwa kutumia rasilimali zinazopatikana katika mazingira ya mkulima na pia husababisha matumizi bora ya rasilimali za mkulima. Kitabu hiki kinasisitiza ufugaji mseto wa samaki, ikiwa na ...
  • Idara ya ukuzaji viumbe maji. (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, 2021)
    Ili kuendana na Mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2016 - 2021) inayosisitiza Tanzania ya Viwanda, inashauriwa ufugaji wa samaki ufanyike kwa kutumia teknolojia za kisasa zenye tija kwa ajili ya kuongeza ...
  • Mussa, D (Kilimo Tanzania Blog, 2018-05)
    FAIDA ZA KUFUGA KAMBARE • Kambare ni aina ya samaki wanaoweza kukua hadi kufi kia kilo 10 na hivyo humuwezesha mfugaji kujipatia kipato na nyama zaidi kuliko perege na aina nyingine za samaki. • Nyama ya kambare ...
  • Mussa, D (Kilimo Tanzania Blog, 2018-05)
    Katika toleo liliotangulia, tulizungumzia kuhusu utayarishaji wa mabwawa na matangi ya kufugia kambare, muda na kiasi cha mbolea na chokaa kinachohitajika kuongezwa kabla ya kuingiza samaki, uchaguzi na usafirishaji wa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo Hai Blog, 2018-07)
    Bata Bukini ni ndege ambao asili yao ni India na Japan. Hii ni jamii ya ndege wafugwao lakini tofauti kubwa ya bata wa kawaida wao wana asili ya usafi hivyo hawapendi uchafu na kamwe hawali mizoga.
  • SAT (Kituo cha mafunzo ya wakulima, 2023)
    Mfugaji wa kuku ana jukumu la kuhakikisha kuku wake wanaishi katika mazingira mazuri kiasi cha kutosha kufanya uzalishaji.Kuku ni jamii ya ndege wanaofugwa.Vifaranga ni watoto wa kuku waliotoka kwenye yai wenyeumri kuanzia ...
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2010)
    Mwaka 2008/9 RLDC ilifanya majaribio ya mfumo wa ufugaji wa kuku wa asili kupitia vikundi vidogo vya wafugaji wa vijijini katika vijiji vya Bupandagila na Mbiti, Wilayani Bariadi katika Mkoa wa Shinyanga. Huu ni ufugaji ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account