Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Lyamchai, C. J; Kweka, E. S; Mwikari, M. M; Kingamkono, M. N; Wambugu, C (World Agroforestry Centre - ICRAF, 2005)
    Kaliandra (Calliandra calothyrsus) ni mmea aina ya mikunde wenye asili ya Amerika ya Kati na Mexico. Ulipandwa mara ya kwanza nchini Indonesia kwa ajili ya kivuli katika mashamba ya kahawa, lakini kwa sasa mti huo umeonyesha ...
  • Prince, K. W. T (2002-04-19)
    REPTJ LE skins, such as crocodile, alligator, lizard and snake, make very attractive and durable leather. Unfortunately, owing to faulty preparation, reptile skins often reach the tanners in too bad a condition to tan. The ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Zanzibar Tanzania, 2011)
    Kuongezeka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi katika mifugo na sekta nyengine zinazohusiana nazo ni suala muhimu la kisera linalopewa kipaumbele katika kuleta maendeleo endelevu ya familia masikini hapa Zanzibar.Ongezeko hilo ...
  • Mwandishi Hajulikani (ReCoMaP, 2013)
    Ufugaji wa kamba na samaki umeanza kuwa ni shughuli ya ujasiriamali ambayo inaweza kuchangia katika kupunguza umasikini kwenye jamii ya ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki. Kama ilivyo kwa shughuli zingine za ufugaji wa ...
  • Mwandishi Hajulikani (2012-08)
    Silage ni chakula maalum kinachotengenezwa kwa kutumia aina yoyote ya malisho yanayofaa kwa mifugo kama majani, nyasi, mabua ya mahindi, mtama na ufuta. Kwa kawaida silage hutengenezwa wakati wa mvua ambapo majani hukua ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizar ya Maendeleo ya Mifugo - Tanzania, 2006-12)
    Sekta ya Mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa Taifa, kuongeza kipato kwa Watanzania wanaotegemea mifugo, na kutoa fursa za ajira sanjari na kuhifadhi rasilimali za Taifa. Sera hii inaeleza nia ya Serikali ...
  • Selemani, Ismail S.; Mwaseba, Dismas; Nyambilila, Amur; Hella, Joseph; Kyaruzi, Athumani; Nchimbi, Susan; Sanga, Camilus (Sokoine University of Agriculture, 2021)
    Ufugaji nchini Tanzania unakabiliwa na uhaba wa malisho na hivyo kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa maziwa. Tafiti zilizotangulia zinaonesha kuwa uzalishaji kwa sasa ni kati ya lita 4 hadi 8 badala ya lita 15 kwa ng’ombe ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Kilimo uvuvi na ushirika, 2015)
    Samaki wamekuwa ni chanzo kizuri na kikubwa cha protein Duniani. Ulaji wa samaki umeongezeka maradufu tokea Mwaka 1973; asilimia 90 (90%) la ongezeko hilo likiwa kwa nchi zinazoendelea (Developing Countries). Tani milioni ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Tanzania, 2017)
    In recent years, the Government of Tanzania has prioritized the transformation of the agricultural sector. This approach has been adopted in the 2007, the Agricultural Sector Development Program (ASDP) and its successor, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Tanzania, 2017)
    Using  the  most  recent  available  and  reliable  secondary  data  and  the  LSIPT,1  the  Tanzania  LMP  team,   made  up  of  MALF  senior  experts  and  supported  by  the  ILRI  LSIPT  experts,  and  supported  by ...
  • Mwandishi Hajulikani (Mradi wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima Wadogowadogo Tanzania (Mradi wa TARP II - SUA), 2013)
    Maendeleo vijijini hutegemea sana matumizi ya teknolojia. Kwa kuwa zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania huishi vijijini kwa kutegemea shughuli za kilimo, ni wazi basi maendeleo yao hayawezi kupatikana bila kuendeleza ...
  • Mwandishi Hajulikani (Mradi wa uboreshaji wa Afya na uzalishaji wa kuku wa kienyeji Africa (HEPRUCA) - SUA, 2012)
    Kipeperushi chenye maelezo ya kutumia shubiri kutibu magonjwa kwa kuku wa kienyeji
  • Brown, Richard Y. (U. S. DEPARTMENT OF AGRICULTURE, 1961-05-08)
    T IlE DAIRY cow'S udder (fig. 1) has been highly developed by cen turies of careful, selective breeding. It is complex in its structure and physiology. The secretory tissue of the gland is made up of great numbers ...
  • BBC (BBC, 2019-06-05)
    Zanzibar katika kisiwa cha Uzi shughuli adimu ya ufugaji wa majongoo bahari, ni moja kati ya mradi mikubwa unaotarajiwa kuwa chanzo cha mapato,ajira na fursa muhimu ya uhifadhi wa viumbe bahari ambao katika siku za hivi ...
  • Mwandishi Hajulikani (Jamii Forum, 2007)
    Kuna usemi flani unatumiwa na watu wengi sana. unasema; “kazi ndio msingi wa maendeleo ya mtu yeyote” . Hata mimi nakubaliana na usemi huu kwani ni kweli kabisa kazi ndio msingi wa hatua yoyote ya maendeleo ya mtu yeyote ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2016-12)
    Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi,mbolea na hutumika kama wangyama kazi. Zaidi ya asilimia95 ya ng,ombe na hutumika kama wanyama kazi. Zaidi ya asilimia 95 ya ng’ombe ...
  • Mwandishi Hajulikani (FARM Africa, 2014)
    FARM Africa ni shirika lisilo la kiserikali, na shughuli zake nyingi zimejikita kati kuchangia kupunguza umaskini wa Mtanzania wa hali yachini. Shirika hili linafanya shughuli zake zaidi katika Wilaya zaBabati, Mbulu ...
  • Madalla, N; Urio, N; Ngomalilo, G; Mkata, K (2017)
    Kipeperushi kinachoelezea ufugaji bora wa ng'ombe wa mazima - mitamba
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeeds Ltd, 2017)
    Mada iliyowasilishwa katika semina - Chalinze iliyogusia - UMUHIMU WA UFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA KWA BINADAMU. Huongeza kipato (Familia Vs Taifa). Chanzo cha ajira. Huboresha lishe kwa binadamu. Huongeza upatikanaji ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2017-05)
    “Ufugaji wa Nguruwe ni lazima uwe wa kisasa ili kupata mazao bora. Unaweza kupata kila unachohitaji wewe, familia na hata ndugu zako kutokana na ufugaji wa nguruwe”, anasema Bwana Lomaiyani Molel kutoka Arusha. Jamii ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account