Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Heifer Project International, 1996)
    Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba ...
  • VanWormer, E; Ahmed, A; Msigwa, A; Mwanzalila, M; Makweta, A; Komba, E; Kelada, M; Kazwala, R. R (Feed the Future Innovation Lab, 2019)
    Timu ya watafiti wenye ujuzi na taaluma mbalimbali kutoka mradi wa HALI ukishirikiana na wafugaji wanaoishi Kusini-Mashariki mwa Hifadhi ya taifa Ruaha waliweza kutambua na kuorodhesha magonjwa ambayo yanashambulia mifugo ...
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi na Uzalishaji wa Wanyama - SUA, 2017-08)
    Mwongozo mfupi juu ya utengenezaji bora wa hei kwa ajili ya chakula cha ng'ombe.
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi na Uzalishaji wa Wanyama - SUA, 2017-08)
    Maelezo mafupi juu ya ulimai na utengenezaji wa majani kwa ajili ya chakula cha mifugo
  • TARP II-SUA Project (Sokoine university of agriculture, 2002)
    Utambuzi yakinifu wa magonjwa ya ndege wafugwao ni mgumu kupita ule wa magonjwa ya mifugo mengine. Hii ni kwa sababu dalili za ugonjwa kwa mnyama hai peke yake hazitoshi kusema ugonjwa usumbuao kwa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Land O'Lakes INC, 2017)
    Hakuna kitakachorekebisha ubora wa maziwa yakiwa yamesha haribika kwa mfugaji. Kwahiyo utunzaji wa maziwa, usafi na kudhibiti ubora hauna budi kuzingatiwa katika hatua zote za mlolongo wa thamani ya maziwa. Uzalishaji ...
  • Munubi, R. N; Lamtane, H. A; Mwandya, A. W; Madalla, N. A; Chenyambuga, S. W (Idara ya Sayansi za Wanyama, Ukuzaji Viumbe Maji na Nyanda za Malisho, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo., 2020)
    Kitabu hiki cha mwongozo wa ufugaji bora wa samaki kimeandaliwa na kuandikwa na watalaamu wabobezi wa taaluma ya ufugaji wa samaki toka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kilichopo Morogoro. Kimeandaaliwa ili ...
  • Heifer International Tanzania (Heifer International Tanzania, 2010)
    Mwongozo huu una mada zinazoelekeza ufugaji ulio bora wa kuku wa Asili ikiwemo jinsi ya kutambua ubora wa kuku wanaostahili kufugwa, mifumo mbalimbali itakayoweza kutumika na mapungufu yaliyomo katika ufugaji na jinsi ya ...
  • Makundi, Rhodes H. (SUA, 2009-11-25)
    Rodents are a mysterious group of animals. They are the largest groups of mammals in terms of species and in numbers. Thera are more than 2200 species which have been described to date, making up 42% of the mammal species.
  • Mwandishi Hajulikani (Food and Agricultural Organization - FAO, 2006)
    Kwa karne nyingi wafugaji wamekuwa wakimudu mifugo yao na nyanda za malisho kwa kuhamahama kufuatana na majira, wakitunza maeneo ya malisho kwa msimu wa kiangazi, wakihifadhi aina fulani fulani za miti, na kujiepusha na ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo Hai Blog, 2018-08)
    Kuanzia magonjwa, kutokufuga jike na dume wa ukoo mmoja (Inbreed), kuzuia kupandwa jike mapema na kuwachinja sungura waliokomaa, inatakiwa kujenga kizizi au kitundu. Maelekezo kabla ya kujenga kizizi i. Mfugaji yampasa ...
  • Ngugi, Charles C; Bowman, James R; Omolo, Bethuel (Aquaculture Collaborative Research Support Program (ACRSP), 2007)
    Kenya is endowed with numerous aquatic resources with aquacultural potential. It has highly varied climatic and geographic regions, covering a part of the Indian Ocean coastline, a portion of the largest freshwater lake ...
  • chuo kikuu cha kilimo cha sokoine (chuo cha kilimo cha Sokoine, 2015)
    Ngozi ni mail kwako wewe na kwa nchi yako. Ngozi za Tanganyika huuzwa mahali pote duniani. Ngozi za nchi yetu lazima ziwe safi kabisa ill ziweze knstahili sifa nzuri katika soko la dunia.
  • Nzige 
    Wingu la mashahidi (Wingu la mashahidi, 2022-11-14)
    Hii ni jamii ya Panzi, ambayo ndio jamii kubwa kimaumbile kuliko jamii zote za panzi, Nzige wanasifa ya kutembea kimakundi na wanahama kutoka ukanda mmoja kwenda mwingine, na wanapotua mahali wanaharibu mazao ndani ya muda ...
  • Lyamchai, C. J; Kweka, E. S; Mwikari, M. M; Kingamkono, M. N; Wambugu, C (World Agroforestry Centre - ICRAF, 2005)
    Kaliandra (Calliandra calothyrsus) ni mmea aina ya mikunde wenye asili ya Amerika ya Kati na Mexico. Ulipandwa mara ya kwanza nchini Indonesia kwa ajili ya kivuli katika mashamba ya kahawa, lakini kwa sasa mti huo umeonyesha ...
  • Prince, K. W. T (2002-04-19)
    REPTJ LE skins, such as crocodile, alligator, lizard and snake, make very attractive and durable leather. Unfortunately, owing to faulty preparation, reptile skins often reach the tanners in too bad a condition to tan. The ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Zanzibar Tanzania, 2011)
    Kuongezeka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi katika mifugo na sekta nyengine zinazohusiana nazo ni suala muhimu la kisera linalopewa kipaumbele katika kuleta maendeleo endelevu ya familia masikini hapa Zanzibar.Ongezeko hilo ...
  • Mwandishi Hajulikani (ReCoMaP, 2013)
    Ufugaji wa kamba na samaki umeanza kuwa ni shughuli ya ujasiriamali ambayo inaweza kuchangia katika kupunguza umasikini kwenye jamii ya ukanda wa pwani ya Afrika Mashariki. Kama ilivyo kwa shughuli zingine za ufugaji wa ...
  • Mwandishi Hajulikani (2012-08)
    Silage ni chakula maalum kinachotengenezwa kwa kutumia aina yoyote ya malisho yanayofaa kwa mifugo kama majani, nyasi, mabua ya mahindi, mtama na ufuta. Kwa kawaida silage hutengenezwa wakati wa mvua ambapo majani hukua ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizar ya Maendeleo ya Mifugo - Tanzania, 2006-12)
    Sekta ya Mifugo ina nafasi kubwa katika kujenga uchumi imara wa Taifa, kuongeza kipato kwa Watanzania wanaotegemea mifugo, na kutoa fursa za ajira sanjari na kuhifadhi rasilimali za Taifa. Sera hii inaeleza nia ya Serikali ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account