Ghala la Mkulima

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • KILIMO BLOG (20-03-13)
    Mtama ni kundi la mbegu punje ndogo katika jamii ya nafaka ambayo ina kiasi kikubwa cha kabohaidreti.Ni zao lenye uwezo mkubwa wa kuvumilia hali ya ukame kuliko mazao mengi ya jamii yake,Hivyo hulimwa maeneo mengi Duniani ...
  • wizara ya kilimo (Nuta Press, 1971)
    Kabla ya Tanzania kupata uhuru, serikaii ya kikoloni ilijiingiza sana katika mazao ya biashara na nchi za nje na haikujali sanajuu ya mazao yaliyotumika humu nchini hasa yale ya chakula ambayo wananchi hutumia. Siasa ...
  • Shannon, Emroy (NEW-MEXICO STATE UNIVERSITY COOPERATIVE EXTENSION SERVICE., 1971-08)
    Tomatoes are attacked by several disease organisms that reduce both yield and quality. Control of these diseases means the difference between profit and loss. Effective control consists of knowing what diseases you have ...
  • Western Region, Agricultural Research Service (Washington, D.C., 1973-05-08)
    Grasshoppers are found in every part of the United States, but serious outbreaks seldom develop east of the Mississippi River; they occur mostly in the western two-thirds of the country. Grasshoppers often severely damage ...
  • Agriculture, U.S. department (U.S. DEPARTMENT OF AGRICULTURE., 1975-04-30)
    The most effective control measures for raspberry and blackberry diseases are those taken before the diseases become serious. Varieties adapted to a locality and resistant to the major diseases should be planted, if ...
  • Kimiti, P.P (Afisa kilimo msaidizi ofisi yakilimo Tanu., 1977)
    TANU ya sasa ina kazi kubwa sana, maana TANU inafanya kazi ya kuelimisha, kueleza na kujcnga Taifa letu ili litoke katika hali ya unyongc na kuwa katika hali ya neema na nguvu. Kania sote tunavyoelcwa ni kwamba katika ...
  • Korosho 
    Mradi wa mafunzo ya wakulima (Wizara ya kilimo, 1983)
    Uzalishaji wa korosho duniani umekua ukiongezeka kila mwaka kutokana na jitihada zinazoendelea katika nchi mbalimbali kufanya upanuzi wa maeneo ya kilimo cha korosho, pamoja na matumizi ya teknolojiaka- ma vile matumizi ...
  • Karanga 
    wizara ya kilimo (Sokoine university of agriculture, 1987)
    Karanga ni zao zuri sana ambalo hutumika kama chakula na mafuta pia,karanga hupandwa sehemu tofauti nchini Tanzania.karanga hupandwa kwa kufuata kanuni zifuatazo kabla ya kupanda, chagua mbegu ambazo hazishambuliwi na ...
  • National Coconut Development Programme (Dar Es Salaam University Press, 1992)
    Ili kupata mnazi ulio bora mkulima ni lazima awe muangalifu wakati wa kupanda. Mche uliopandwa vibaya huchelewa kukua na hata wakati mwingine hufa. Mazingira kama vile aina ya udongo, kiasi cha mvua, joto, na mwinuko lazima ...
  • Ngeze, Pius B (Tanzania Educational Publishers Ltd, 1992)
    Mimca inapokuwa shambani hufyonza virutubisho vya mimea kutokaudongoni. Kali ya virutubisho hivyo, vilivyo muhimu zaidi ni nitrojeni, fosforasi, potasi, kalisi na feri. Mimea hutumia virutubisho hivyo kwa kukua, kuzaa, ...
  • Inades Formation Tnzania (Sokoine university of agriculture, 1994)
    Karanga ni moja ya mazao ambayo yana kiasi kikubwa cha mafuta hadi kufikia asilimia 30.Punje ya karanga pia ina kiasi kikubwa cha protini hadi kufikia asilimia 44.Hivyo karanga zinaweza kutoa hivi viini lishe mbalimbali.Faida ...
  • Ostberg, Wilhelm (UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, 1994-05-23)
    Mpango wa utafiti wa Binadamu na Mazingira Mikoa ya Kati Tanzania unaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Institute of Resource Assessment (IRA), Chuo Kikuu cha Dar es-salaam, nchini Tanzania, na Environment and Development ...
  • Mwandishi Hajulikani (Changia Maendeleo Mafia - CHAMAMA, 1994-08)
    Hotuba hii imetolewa tarehe 1 Agosti 1994 Lizu Hotel, Kilindoni, Mafia na Professor Patricia Caplan, BA, MA, Ph.D.Goldsmiths College, University of London ambaye alisema Naona nimepewa heshima kubwa kuweza kupata nafasi ...
  • Braun, M (Kituo cha utafiti wa kilimo Ukiriguru, 1995)
    Viazi vitamu ni mojawapo ya vyakula ambavyo hutumika sana nchini, watu wengi hutumia kama kitafunwa cha asubuhi,Pia wengine hutumia kama chakula ambapo hupikwa kama mlo wa kawaida wakati wa mchana au usiku.Hivyo basi kuna ...
  • Maerere, A.P (Sokoine University of Agriculture, 1996)
    UTANGULIZI Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda ...
  • Maerere, A. P; Kusolwa, P. M; Msogoya, T. S; Mgembe, E. R; Msita, H. B; Turuka, F. M; Senkondo, F. J (SUA - TU linkage Project, 1997)
    Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda yanatupatia virutubisho ...
  • Idara ya uhusiano na elimu a wakulima mamlaka ya pamba Tanzania (kiwanda cha uchapaji cha taifa, 1999)
    PAMBA ni zao ambalo hustawi vizuri sana katika sehemu kubwa ya nchi yetu. Pamba hustawi katika udongo wa aina mbali mbali mradi tu maji yawe yanapenya kwa urahisi na usiwe na chachu (acidic) kwa wingi. Kiasi cha inchi ...
  • Halmashauri ya Taifa ya Mazao (Halmashauri ya Taifa ya Mazao, 1999)
    The aim of this pamphlet is to supplement our earlier ones like the “Official Handbook” and “Halmashauri ya Taifa Isimamiayo Mazao” in making the citizens of this country more informed about their National Agricultural ...
  • Mwandishi Hajulikani (2000)
    Maandalizi sahihi ya shamba ni jambo la msingi katika kuboresha kilimo cha umwagiliaji wa mpunga. shamba lisipoandaliwa vema husababisha mbinu bora zinazoshauriwa kutoonyesha matokeo katika kiwango kinachotarajiwa hasa ...
  • Mwandishi Hajulikani (2000)
    Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali.

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account