Uzalishaji Mazao

 

Wasilisha karibuni

  • Joack Company, Joack Company (Joackcompany.business, 2021-10-21)
    Kilimo cha miwa ni kilimo chenye tija kwa mkulima, kilimo hiki kinaweza kufanywa na mtu yeyote yule aidha awe ameajiliwa au laaa.
  • Wizara ya kilimo chakula na ushirika (Wizara ya kilimo Chakula na Ushirika, 2006-04)
    Mwaka 2005/2006 Tanzania inakabiliwa na upungufu inkuwa wa chakula. Sababu kubwa ya upungufu huo ni hah ya ukame ulioikumba nchi yetu. Hata hivyo tatizo hilo la upungufu wa chakula lisingckuwa kubwa kiasi hicho iwapo ...
  • TARP II Project (Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo SUA, 2002-06)
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilinio (SUA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilinio na Uhakika wa Chakula (MAFS), pamoja na Chuo Kikuu cha kilinio cha Norway (NLH). kinaiekeleza Mradi wa Uhakika wa Chakula na Palo la Kaya ...
  • Halmashauri ya Taifa ya Mazao (Halmashauri ya Taifa ya Mazao, 1999)
    The aim of this pamphlet is to supplement our earlier ones like the “Official Handbook” and “Halmashauri ya Taifa Isimamiayo Mazao” in making the citizens of this country more informed about their National Agricultural ...
  • Shirika la chakula duniani (Shirika la chakula duniani, 2023-08)
    Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo.
  • Global publishers (Global publishers, 2020-01-02)
    KWA miaka nenda rudi, kilimo ndiyo kimekuwa uti wa mgongo kwa watu wengi hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania.Tangu enzi za mababu zetu, kilimo ndiyo kimekuwa njia ya kuhakikisha kaya zinapata mahitaji muhimu, ...
  • Global publishers (Global publishers., 2023-12-09)
    Mbegu za maboga zimekuwa kimbilio namba moja kwa baadhi ya watu, wakiwamo kina baba wanaozichangamkia kwa nia ya kujiongezea nguvu za kiume, sawa na ilivyo kwa samaki pweza na supu yake. Madaktari na wataalamu wa lishe ...
  • Kimiti, P.P (Afisa kilimo msaidizi ofisi yakilimo Tanu., 1977)
    TANU ya sasa ina kazi kubwa sana, maana TANU inafanya kazi ya kuelimisha, kueleza na kujcnga Taifa letu ili litoke katika hali ya unyongc na kuwa katika hali ya neema na nguvu. Kania sote tunavyoelcwa ni kwamba katika ...
  • Mamiro, Delphina (PANTIL Project, 2010)
    Uyoga ni mmea aina ya “kuvu* ambao huota kama vijimelea. Uyoga unatofautlana na mlmea mlnglne kwa kukoaa chembe chembe za kloroflli zinazowezeaha mmea kujitengpnezea chakula chake wenyewe kwa kutumla hewa ya karbonldioksaidi. ...
  • wizara ya kilimo (Nuta Press, 1971)
    Kabla ya Tanzania kupata uhuru, serikaii ya kikoloni ilijiingiza sana katika mazao ya biashara na nchi za nje na haikujali sanajuu ya mazao yaliyotumika humu nchini hasa yale ya chakula ambayo wananchi hutumia. Siasa ...
  • Shannon, Emroy (NEW-MEXICO STATE UNIVERSITY COOPERATIVE EXTENSION SERVICE., 1971-08)
    Tomatoes are attacked by several disease organisms that reduce both yield and quality. Control of these diseases means the difference between profit and loss. Effective control consists of knowing what diseases you have ...
  • Maswa District Council (Halmashauli ya wilaya ya Maswa, 2022)
    Kampeni ya uhamasishaji wa elimu bora ya kilimo cha pamba umefanyika katika Wilaya ya Maswa lengo likiwa ni kuwaelimisha wakulima wa pamba kanuni bora za kilimo hicho ili waweze kulima kwa tija na kuongeza uchumi wa mkulima, ...
  • Shirika la chakula Duniani (Shirika la chakula duniani, 2021-06)
    Ukulima wa mwani visiwani Pemba wachangamshwa na mradi wa IFAD na GEF . Sasa wakazi hawa wa kisiwa cha Pemba wanazidi kutegemea chanzo mbadala cha mapato kinachoota chini ya maji ya bahari, Mwani.
  • Silayo, V.C.K (Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Sua, 2004)
    Kutokana na ukweli kwamba muhogo huharibika baada ya siku chache (2-3) baada ya kuvuna ni vyema ukasindikwa ili kuwa katika hali ya kutumika kwa muda mrefu ujao. Sababu nyingine ya kusindika muhogo ni kuongeza thamani ya ...
  • Mmbando, Frank (Tari, 2003)
    Choroko ni zao jamii ya mikunde, ni zao la chakula na biashara. Choroko hustawi katika udongo wa aina tofauti usiotuamisha maji. Hustawi zaidi kwenye ukanda wa chini na wa kati, yaani mita 0 hadi 1500 kutoka usawa wa bahari, ...
  • Taasisi ya KIlimo Naliendele (Taasisi ya KIlimo Naliendele, 2022-06-25)
  • Taasisi ya Kilimo Naliendele (Taasisi ya kilimo Naliendele, 2022-06-25)
    kifauongo ni mdudu aina ya kifukusi ambaye hushambulia mashina ya mikorosho yanapozidi huweza kuua mkorosho wote. jina la kifauongo hutokana na mbinu yake ya kujifanya amekufa mara anapohisi hatari. baada ya dalili ya ...
  • taasisi ya Kilimo Naliendele (Taasisi ya kilimo Naliendele, 2022-06-25)
    Blaiti ni moja ya magonjwa makubwa yanayoathiri uzalishaji wa korosho. Ugojwa huu unasababishwa na vimelea aina ya uyoga. Nchini Tanzania ulianza kuonekana mwaka 2004 na kwasasa umeenea katika maeneo mengi yanayolima korosho
  • taasisi ya Kilimo Naliendele (Taasisi ya kilimo Naliendele, 2022-06-25)
    Moja ya matatizo makubwa ya uzalishaji wa mazao ya mikorosho ni ugonjwa wa Ubwiri unga ambao husababishwa na vimelea aina ya kuvu na vimelea hizi huweza kusababisha upungufu wa uzalishaji kwa asilimia 70
  • Shirika la Kilimo Duniani (FAO) (Shirika la Kilimo Duniani (FAO), 2019-07-17)
    Kaya zinazojihusisha na kilimo zinahitaji sera wezeshi za umma ili ziweze kuendana na kustawi katika mazingira ya sasa yanayobadilika kila uchao, amesema Mkurugenzi Mkuu wa shirika la chakula na kilimo duniani, FAO José ...

View more