Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Selemani, Ismail S.; Mwaseba, Dismas; Nyambilila, Amur; Hella, Joseph; Kyaruzi, Athumani; Nchimbi, Susan; Sanga, Camilus (Sokoine University of Agriculture, 2021)
    Ufugaji nchini Tanzania unakabiliwa na uhaba wa malisho na hivyo kusababisha kushuka kwa uzalishaji wa maziwa. Tafiti zilizotangulia zinaonesha kuwa uzalishaji kwa sasa ni kati ya lita 4 hadi 8 badala ya lita 15 kwa ng’ombe ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Kilimo uvuvi na ushirika, 2015)
    Samaki wamekuwa ni chanzo kizuri na kikubwa cha protein Duniani. Ulaji wa samaki umeongezeka maradufu tokea Mwaka 1973; asilimia 90 (90%) la ongezeko hilo likiwa kwa nchi zinazoendelea (Developing Countries). Tani milioni ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Tanzania, 2017)
    In recent years, the Government of Tanzania has prioritized the transformation of the agricultural sector. This approach has been adopted in the 2007, the Agricultural Sector Development Program (ASDP) and its successor, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Tanzania, 2017)
    Using  the  most  recent  available  and  reliable  secondary  data  and  the  LSIPT,1  the  Tanzania  LMP  team,   made  up  of  MALF  senior  experts  and  supported  by  the  ILRI  LSIPT  experts,  and  supported  by ...
  • Mwandishi Hajulikani (Mradi wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima Wadogowadogo Tanzania (Mradi wa TARP II - SUA), 2013)
    Maendeleo vijijini hutegemea sana matumizi ya teknolojia. Kwa kuwa zaidi ya asilimia 80 ya Watanzania huishi vijijini kwa kutegemea shughuli za kilimo, ni wazi basi maendeleo yao hayawezi kupatikana bila kuendeleza ...
  • Mwandishi Hajulikani (Mradi wa uboreshaji wa Afya na uzalishaji wa kuku wa kienyeji Africa (HEPRUCA) - SUA, 2012)
    Kipeperushi chenye maelezo ya kutumia shubiri kutibu magonjwa kwa kuku wa kienyeji
  • Brown, Richard Y. (U. S. DEPARTMENT OF AGRICULTURE, 1961-05-08)
    T IlE DAIRY cow'S udder (fig. 1) has been highly developed by cen turies of careful, selective breeding. It is complex in its structure and physiology. The secretory tissue of the gland is made up of great numbers ...
  • BBC (BBC, 2019-06-05)
    Zanzibar katika kisiwa cha Uzi shughuli adimu ya ufugaji wa majongoo bahari, ni moja kati ya mradi mikubwa unaotarajiwa kuwa chanzo cha mapato,ajira na fursa muhimu ya uhifadhi wa viumbe bahari ambao katika siku za hivi ...
  • Mwandishi Hajulikani (Jamii Forum, 2007)
    Kuna usemi flani unatumiwa na watu wengi sana. unasema; “kazi ndio msingi wa maendeleo ya mtu yeyote” . Hata mimi nakubaliana na usemi huu kwani ni kweli kabisa kazi ndio msingi wa hatua yoyote ya maendeleo ya mtu yeyote ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2016-12)
    Ng’ombe wanafugwa kwa ajili ya nyama na maziwa lakini pia hutoa mazao mengine kama ngozi,mbolea na hutumika kama wangyama kazi. Zaidi ya asilimia95 ya ng,ombe na hutumika kama wanyama kazi. Zaidi ya asilimia 95 ya ng’ombe ...
  • Mwandishi Hajulikani (FARM Africa, 2014)
    FARM Africa ni shirika lisilo la kiserikali, na shughuli zake nyingi zimejikita kati kuchangia kupunguza umaskini wa Mtanzania wa hali yachini. Shirika hili linafanya shughuli zake zaidi katika Wilaya zaBabati, Mbulu ...
  • Madalla, N; Urio, N; Ngomalilo, G; Mkata, K (2017)
    Kipeperushi kinachoelezea ufugaji bora wa ng'ombe wa mazima - mitamba
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeeds Ltd, 2017)
    Mada iliyowasilishwa katika semina - Chalinze iliyogusia - UMUHIMU WA UFUGAJI WA NG’OMBE WA MAZIWA KWA BINADAMU. Huongeza kipato (Familia Vs Taifa). Chanzo cha ajira. Huboresha lishe kwa binadamu. Huongeza upatikanaji ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo na Mifugo Blog, 2017-05)
    “Ufugaji wa Nguruwe ni lazima uwe wa kisasa ili kupata mazao bora. Unaweza kupata kila unachohitaji wewe, familia na hata ndugu zako kutokana na ufugaji wa nguruwe”, anasema Bwana Lomaiyani Molel kutoka Arusha. Jamii ...
  • Lekule, F. P; Muhairwa, A; Ngowi, Helena; Mushi, D; Kimbi, E. C (a Mradi wa SLIPP - Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo - SUA, 2010)
    Ufugaji wa Nguruwe ni kati ya shughuli zinazokuwa haraka katika Afrika Mashariki na ya Kusini. Ukuaji wa miji na ongezeko la watu kumeendana na ongezeko kubwa la mahitaji ya protini ya wanyama. Uwezo wa kukua haraka, ubora ...
  • Mwandishi Hajulikani (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), 1994)
    Kitabu hiki kimechapishwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (FAO). Dhumuni ni kumpatia mkulima elimu juu ya ufugaji bora wa samaki katika maji matamu (yasio na chumvi) ikiwa ni pamoja na kufahamu namna ...
  • Laswai, G. H; Mnembuka, B. V; Lugeye, S. C (SUA - TU Linkage Project, 2000)
    Kijitabu hiki kimetayarishwa ili kukidhi mahitaji ya wafugaji wa sungura katika Tanzania. Kinajihusisha zaidi na kanuni muhimu ambazo mfugaji wa sungura anapashwa kuzifuata au kuzingatia wakati akitunza wanyama hawa.
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2005)
    Ufugaji wa sungura ni moja wapo ya chanzo kizuri cha mapato nchini Tanzania kama watanzania watafanya yafuatayo, • Mfugaji anatakiwa awe na shauku na dhamira ya kweli ya ufugaji. • Kufanya tathmini ya rasilimali alizonazo ...
  • Mwandishi Hajulikani (International Tanfeed Ltd, 2004)
    Kwa mazingira yetu haya ya joto, unyevunyevu mkubwa na jua kali hivyo katika uchaguzi wa sehemu sahihi kwa ajili ya ufugaji wa sungura inategemeana na vitu vifuatavyo;  Mahali maalum  Hali ya hewa  Mtaji  Ukubwa wa mradi.
  • Katule, A. M; Mnembuka, B. V; Madalla, N; Lamtane, H; Mnubi, R (PANTIL - SUA, 2010)
    Ufugaji wa samaki huweza kufanyika kwa kutumia rasilimali zinazopatikana katika mazingira ya mkulima na pia husababisha matumizi bora ya rasilimali za mkulima. Kitabu hiki kinasisitiza ufugaji mseto wa samaki, ikiwa na ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account