Ghala la Mkulima

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Agroforestry Database 4.0, 2009)
    BOTANIC DESCRIPTION Saba comorensis is a strong forest liana up to 20 m long on other trees. Stem lenticillate and exuding a white sticky latex when cut. Leaves ovate or elliptic, base rounded or subcordate, apex obtuse ...
  • Global publishers (Global publishers., 2023-12-09)
    Mbegu za maboga zimekuwa kimbilio namba moja kwa baadhi ya watu, wakiwamo kina baba wanaozichangamkia kwa nia ya kujiongezea nguvu za kiume, sawa na ilivyo kwa samaki pweza na supu yake. Madaktari na wataalamu wa lishe ...
  • Mwandishi Hajulikani (Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania - SAGCOT, 2011-01)
    Tanzania’s southern corridor links the port of Dar es Salaam to Malawi, Zambia and the Democratic Republic of Congo. It benefits from good ‘backbone’ infrastructure – including road, rail and power – and passes through ...
  • Mwandishi Hajulikani (University of Maryland Extension—Garrett County, 2011)
    Strawberries are available in grocery stores 365 days a year. This is largely due to the fact that berries are shipped from different locations across the United States and around the world. However, in the eastern United ...
  • Mihyo, P. B (REPOA, 2019-05)
    Kitabu hiki kina sura saba ambazo zinaangalia sera mabali mbali kuhusu maendeleo vijijini na mchango wake kwenye kupunguza umaskini Tanzania. Kinaanza na sera zilizotungwa na kuetekelezwa kipindi cha Ujamaa na Kujijetegemea. ...
  • Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania (Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, 2020-04-24)
  • Kimiti, P.P (Afisa kilimo msaidizi ofisi yakilimo Tanu., 1977)
    TANU ya sasa ina kazi kubwa sana, maana TANU inafanya kazi ya kuelimisha, kueleza na kujcnga Taifa letu ili litoke katika hali ya unyongc na kuwa katika hali ya neema na nguvu. Kania sote tunavyoelcwa ni kwamba katika ...
  • Laswai, H. S; Kulwa, K. B. M; Ballegu, W. R .W; Silayo, V. C. K; Ishengoma, C. G; Makindara, J. A; Mpagalile, J. J; Rweyemamu, C. L (FOCAL - SUA, 2005-06)
    Katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania, tatizo la utapiamlo limekuwa tatizo sugu. Kiwango cha wanaosumbuliwa na tatizo hili katika nchi yetu kama asilimia thelatini ya watu wote. Jambo hili si la kufumbia macho kwa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Food safety standard, 2023-11-08)
    Sumu za asili ni misombo ya sumu ambayo huzalishwa na viumbe hai. Sumu hizi hazina madhara kwa viumbe wenyewe, lakini zinaweza kuwa sumu kwa viumbe vingine, ikiwa ni pamoja na wanadamu, wakati wa kumeza Misombo hii ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Farm Radio International - FRI, 2017-03)
    Kilimo hifadhi kinatoa njia rahisi ambayo wakulima wanaweza kuitumia ili kupambana na athari mbaya za mabadiliko ya tabia nchi na kujifunza kulima mashamba amba kwa kuzingatia “uasilia wake”. Hii inaweza kuhusisha ...
  • Mwandishi Hajulikani (TaCRI, 2007-01-03)
    Mwaka uliopita umekuwa na ongezeko la shughuli katika Idara ya Uboreshaji wa zao la kahawa. Majaribio zaidi yameongezwa, mbegu chotara kuendeleza aina bora zimezalishwa, na watafiti waliokuwa masomoni kwa Shahada ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo Biashara Blog, 2018)
    Miparachichi imekuwepo nchini kwa miaka mingi. Katika mikoa ya kaskazini (Kilimanjaro na Arusha) pamoja na kutumika kama matunda, maparachichi yalibeba jina la “chakula cha mbwa” kwa kuwa mara nyingi yalipodondoka ...
  • Mwandishi Hajulikani (The Tanganyika Law Society - TLS, 2018)
    Tamko la kisheria la Chama cha Wanasheria Tanganyika kuhusiana na mjadala wa kisheria unaoendea katika jamii ya watanzania kuhusiana na tozo ya ushuru wa korosho ghafi zinazouzwa nje ya nchi na wauzaji wa korosho.
  • Tango 
    Mwandishi Hajulikani (Seeds of Expertise for the Vegetable Sector of Africa - SEVIA, 2017)
    Maelezo juu ya uchaguzi wa mbegu na ulimaji wa matango kwa ajili ya kupata mavuno mengo na kuepuka hasara
  • Tango 
    Bennet (Sokoine university of agriculture, 2023-09-20)
    Hii leo nitaongelea tunda la tango na madhumuni zaidi ni katika kumsaidia mbwa jike kukausha maziwa. Inaweza kutokea mbwa watoto wake wamekua na kuacha kunyonya au watoto wakafariki wakati bado wadogo mara baada ya kuzaliwa, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Tanzania Coffee Board - TCB, 2012)
    Kahawa ni mojawapo ya mazao makuu ya biashara yanayosafirishwa nchi za nje, ikichangia kiasi cha 5% ya mapato ya jumla bidhaa zinazosafirishwa nje, na inazalisha mapato ya wastani wa Dola za Marekeni ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Korosho ni mmea muhimu wenye manufaa ya kifedha katika pwani ya Kenya. Mahitaji ya njugu zilizoandal iwa yanazidi nchini na ngámbo na hii inawapa wakulima fursa ya kujinufaisha kifedha.
  • Kihara, Job (Africa Rising, 2022-10)
    Mbili-Mbili ni mkakati wa kilimo mseto cha nafaka na mikunde unaohusishaupandaji wa mazao matatu yenye ukuaji na mpangilio tofauti shambani. Tekinolojia hii ilitengenezwa kwa mfumo wa utafiti wa Afrika katika uimarishaji ...
  • Global publishers (Global publishers, 2020-01-02)
    KWA miaka nenda rudi, kilimo ndiyo kimekuwa uti wa mgongo kwa watu wengi hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania.Tangu enzi za mababu zetu, kilimo ndiyo kimekuwa njia ya kuhakikisha kaya zinapata mahitaji muhimu, ...
  • Mwandishi Hajulikani (PANTIL - SUA, 2009)
    Kijitabu hiki kinalenga uzalishaji wa mbegu za muhogo kwa ajili ya kupanua kilimo cha zao la muhogo na pia uzalishaji bora wa muhogo. Vile vile kijitabu hiki kinazungumzia magonjwa mbalimbali yanayoathiri zao la muhogo ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account