Ghala la Mkulima

Utafutaji Chakula na Lishe Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

Utafutaji Chakula na Lishe Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2008)
    Shirika la Rural Livelihood Development Company (RLDC ni Hii ni taasisi isiyo ya kibiashara iliyoanzishwa mwaka 2005 na mashirika ya Intercooperation na Swisscontact, lengo kuu likiwa kutekeleza Programu ya kuendeleza ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Mboga za kiasili ni muhimu kwa chakula na zina virutubishi zaidi ya zile za kigeni kama vile sukuma wiki na kabeji. Mifano yake ni kama vile sageti, mnavu, mchicha na mkunde. Mimea hii huwa na madini na vitamini A ...
  • Muhas, U. (MUHAS, 2008-11-29)
    Tanzania, like other developing countries in sub-Saharan Africa, is faced with challenges of both under- and overnutrition. Undernutrition comprises of a number of nutritionally related conditions such as protein-energy ...
  • Mgongo, F. O. K; Mbasa, G. K; Kashoma, I; Luziga, C (PANTIL - SUA, 2009)
    Josho la kuogeshea mifugo hususani ng'ombe ni njia rahisi na va ufanisi mkubwa va matumizi va dawa za kuua kupe. Hata hivyo, njia hii isipotumika vizuri, ufanisi wake hupungua au haupatikani kabisa. Hivvo ni muhimu josho ...
  • Ekesa, B (Healthnet TPO, 2010)
    Utoaji wa makala hii ni sehemu ya mradi wa ushirikiano baina ya CIALCA na MtandaoAfya (HealthNet) TPO ujulikanayo kama “destuli endelevu za kilimo na afya kwa uimalishaji lishe na afya kwa jamii ndogondogo nchini Burundi ...
  • Ekesa, B (CIALCA, 2010)
    Utoaji wa makala hii ni sehemu ya mradi wa ushirikiano baina ya CIALCA na MtandaoAfya (HealthNet) TPO ujulikanayo kama “destuli endelevu za kilimo na afya kwa uimalishaji lishe na afya kwa jamii ndogondogo nchini Burundi ...
  • School Canteen, S. (Department of food, 2010-01-13)
    Siku ya shule inakua na mabo mengi ya kimasomo na michezo.Chakula ni mafuta ya miili yetu na chakula bora kinawapa watoto nguvu na virutubisho vinavyotakiwa mwilini.
  • Mwandishi Hajulikani (COUNSENUTH, 2010-07)
    Saratani (Cancer) ni ugonjwa unaotokana na seli za mwili zilizopoteza mfumo wake wa kugawanyika na hivyo hazipo katika hali yake ya kawaida. Seli hizo huweza kugawanyika bila mpangilio maalum na kuharibu mkusanyiko ...
  • Mwandishi Hajulikani (Bioversity International, 2011)
    Kitabu kinazungumzia mbogamboga za watu wa pwani ukanda wa Mombasa nchini Kenya na ikiwa ni kielelezo cha mboga zote za Kimijikenda. Mijikenda maana yake ni makabila tisa yanayosikilizana kwa lugha. Makabila hayo tisa ya ...
  • Taasisi ya chakula na lishe (Taasisi ya chakula na lishe., 2011-08)
    Ulaji usiozingatia kiasi na mchanganyiko wa makundi yote ya chakula kama nafaka, mizizi na ndizi,vyakula vyenye asili ya wanyama na jamii ya kunde,mbogamboga na mtunda huchangia kwa kiasi kikubwa viashiria hatari vya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kituo cha Ushauri Nasaha, Lishe na Afya - COUNSENUTH, 2012)
    Magonjwa sugu yasiyo ya kuambukiza yanayohusiana na mtindo wa maisha yamekuwa yakiongezeka kwa kasi katika nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania. Awali, magonjwa haya yalikuwa yakiwaathiri watu wenye rika mbalimbali hasa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Peace Corps, 2012)
    In some ways, cooking is a metaphor for Peace Corps service. You try new things, and you fail. You experiment some more, and you succeed! Sometimes you ‘re really proud of what you’ve accomplished, and other times, you’d ...
  • Mwandishi Hajulikani (FAO, 2013)
    Samaki ni aina moja ya chakula chenye manufaa zaidi ulimwenguni, huwa na manufaa ya kuotesha mwili kwa afya njema. Makusudi ya hiki kitabu ni kufahamisha manufaa na uzuri yanayoletwa na ulaji wa samaki. Cha nuia upishi ...
  • Mwandishi Hajulikani (FAO, 2013)
    Samaki ni aina moja ya chakula chenye manufaa zaidi ulimwenguni, huwa na manufaa ya kuotesha mwili kwa afya njema. Makusudi ya hiki kitabu ni kufahamisha manufaa na uzuri yanayoletwa na ulaji wa samaki. Cha nuia upishi ...
  • Mwandishi Hajulikani (2013)
    Samaki ni aina moja ya chakula chenye manufaa zaidi ulimwenguni, huwa na manufaa ya kuotesha mwili kwa afya njema. Makusudi ya hiki kitabu ni kufahamisha manufaa na uzuri yanayoletwa na ulaji wa samaki. Cha nuia upishi ...
  • Mwandishi Hajulikani (FAO, 2013)
    Samaki ni aina moja ya chakula chenye manufaa zaidi ulimwenguni, huwa na manufaa ya kuotesha mwili kwa afya njema. Makusudi ya hiki kitabu ni kufahamisha manufaa na uzuri yanayoletwa na ulaji wa samaki. Cha nuia upishi ...
  • Mahuyemba, Alfonsi S. (Mahuyemba Alfonsi, 2013)
    Asilimia kubwa ya dawa zitumikazo kwa kinga na tiba ya maradhi mbalimbalizilijulikana na kugunduliwa kutokana na vyanzo vya awali vya mimea. kutokana na maendeleo ya sayansi na tekinolojia, chenye uwezo wa kutibuna kuzuia ...
  • Stathers, T; Carey, E; Mwanga, R; Njoku, J; Malinga, J; Njoku, A; Gibson, R; Namanda, S (International Potato Center, Nairobi Kenya, 2013-06)
    Katika mwongo uliopita, hamasa kuhusu viazi vitamu barani Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara imekuwa ikiongezeka. Vilevile, idadi ya miradi itumiayo viazi vitamu pamoja na mahitaji ya mafunzo kwa watendaji wa maendeleo ...
  • Tanzania diabetes Association, T (World Diabetes Foundation, 2014-04-29)
    Kitabu hiki ni kwa ajili ya wahudumu wa afya. “Mtindo wa Maisha na Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza” ni kitabu kingine chenye mafunzo haya haya pasipo tiba, kwa ajili ya wanajamii kujisomea wenyewe. Watoa elimu ya afya kwa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Zenji Shoppers, 2016)
    Kiepeperushi kinachoelezea vyakula na bidhaa ambazo zikitumika zinaweza kusaidia kukuza nywele na kuondoa upara katika kichwa.

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account