Ghala la Mkulima

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Mifugo na Uvuvi Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2011)
    Mti wa Lucerne (tree Lucerne) ni aina mpya ya mmea wenye chakula cha hali ya juu kwa mifugo; na ambao pia hutumika kwa mapambo, kuzuia mmomonyoko wa udongo kwa maji au upepo, kurutubisha ardhi na kuni.
  • Mwandishi Hajulikani (Rural Livelihood Development Company - RLDC, 2006)
    Ufugaji wa kuku ni njia rahisi ya kujipatia kipato na lishe bora kwa kaya nyingi za vijijini. Hii ni kutokana na ukweli kwamba: • Ufugaji hauhitaji mtaji mkubwa kuuanzisha. • Ni rahisi kuusimamia. • Faida inapatikana ...
  • Mwandishi Hajulikani (PANTIL - SUA, 2013)
    Swali hili ni kubwa, na pengine zito kuliko maswali vote ambayo mkulima amekuwa akijiuliza. Ni njia ipi bora kutumia kupandisha mfugo? Je atumike dume anayefugwa na mfugaji moja kwa moja au itumike teknolojia ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Mifugo - ILRI, 2016)
    Kuku wana mahitaji tofauti ya vyakula kulingana na umri (vifaranga, wanaokua, wakubwa) na uzalishajili (utagaji au unenepeshaji). Ili kuku waweze kukua vizuri, kunenepa na kutaga mayai mengi ni lazima wale chakula cha ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
    Ng’ombe anayelishwa nyasi pekee hawezi kufikia upeo wake wa maziwa. Hivyo, kuna haja ya kuwapa nyongeza. Nyongeza za kununua kama vile chakula cha ng’ombe kinakisiwa kuwa asilimia 20 ya gharama yote ya maziwa na hiv ...
  • Inades formation Tanzania (inades formation Tanzania, 1992)
    Tanzania ina idadi kubwa ya kuku wa kienyeji wanaofugwa kwa mtindo wa huria vijijini na hata mijini. Katika mtindo huu wa ufugaji, kuku huachwa huru mchana kutwa kujitafutia chakula wao wenyewe. Pengine baadhi ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Programu ya Kuendeleza Matumizi ya Matokeo ya Utafiti (Research Into Use – RIU Tanzania) - MUVEK Development Solutions, 2012-01)
    Ndege wafugwao wana nafasi kubwa kuchangia katika kuongeza pato la taifa na kupunguza umasikini. Inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya kaya zote nchini Tanzania hufuga aina moja au nyingine ya ndege, hususani jamii ya ...
  • Mbassa, Gabriel K. (Program ya PANTIL ( Chuo kikuu cha Sokoine), 2009-03-12)
    Katika nchi za Africa mashariki, kati na kusini magonjwa makuu ya mifugo ni yale yanayosababishwa na viini vidogo vya chembechembe vinavyoitwa protozoa ambavyo husambazwa kwa mifugo na aina mbalimbali za kupe na ndorobo. (mbungo)
  • Mugasha, A. G. (Mradi wa uhakika wa chakula na pato la kaya kwa wakulima wadogowadogo Tanzania (TARP II-SUA Project), 2004-08-19)
    Mifugo aina ya ngombe, mbuzi, kondoo na punda wanahitaji vyakula vya aina kuu tano, ili waweze kukua na kutoa maziwa mengi au kufanya kazi mbalimbali.
  • Mwandishi Hajulikani (Department of Agriculture, forestry and Fisheries - South Africa, 2010-07)
    The definition of aquaculture is the farming of aquatic organisms, including fish, mollusks, crustaceans and aquatic plants. Farming implies some sort of intervention in the rearing process to enhance production, such as ...
  • Mwandishi Hajulikani (World Acquaculture, 2016-12)
    Makala inayoelezea ukuaji na mahitaji ya Soko la samaki duniani kupitia uzalishaji unaofanyika Afrika Kusini. Hali hiyo inatoa fursa kwa nchi hiyo kuweza kutumia vizuri mwanya huo kujiendeleza kiuchumi.
  • Idara ya Ukuzaji Viumbe Maji (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, 2021)
    Ufugaji wa samaki ni miongoni mwa tasnia inayopewa kipaumbele na jamii mbalimbali hapa nchini, kwa kuwa inatoa fursa za kuongeza kipato, lishe na ajira. Ufugaji wa samaki huweza kufanywa sambamba na kilimo, hususani ...
  • Muhairwa, Amandus P; Msoffe, Peter L; Mtambo, Madundo M. A; Ashimogo, Gaspar (PANTIL, 2008)
    Mwongozo wa ufugaji wa kuku wa asili katika kuboresha maisha ya wananchi wanaoishi vijijini na mijini.
  • Mkulima Mbunifu Toleo la 7, 2012 (Biovision, 2012-07)
    Jarida hili la Mkulima Mbunifu linalenga zaidi kutoa elimu sahihi kwa mkulima juu ya shughuli zao mbalimbali katika toleo hili kuna makala juu ya: Kuboresha ufugaji wa kuku; Teknolojia rahisi inayoboresha uzalishaji; ...
  • Mwandishi Hajulikani (Animal Care Unit, 2018-06-11)
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Tanzania, 2017)
    Sekta ya mifugo ni muhimu katika kuwezesha wananchi kupata chakula, kipato, wanyama kazi pamoja na samadi kwa ajili ya kurutubisha ardhi na hivyo kuwezesha ustawishaji wa mazao, hususan maeneo ya vijijini na baadhi ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Heifer Project International, 1996)
    Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba ...
  • VanWormer, E; Ahmed, A; Msigwa, A; Mwanzalila, M; Makweta, A; Komba, E; Kelada, M; Kazwala, R. R (Feed the Future Innovation Lab, 2019)
    Timu ya watafiti wenye ujuzi na taaluma mbalimbali kutoka mradi wa HALI ukishirikiana na wafugaji wanaoishi Kusini-Mashariki mwa Hifadhi ya taifa Ruaha waliweza kutambua na kuorodhesha magonjwa ambayo yanashambulia mifugo ...
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi na Uzalishaji wa Wanyama - SUA, 2017-08)
    Mwongozo mfupi juu ya utengenezaji bora wa hei kwa ajili ya chakula cha ng'ombe.
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi na Uzalishaji wa Wanyama - SUA, 2017-08)
    Maelezo mafupi juu ya ulimai na utengenezaji wa majani kwa ajili ya chakula cha mifugo

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account