Misitu na Nyuki

 

Wasilisha karibuni

  • Ngara, Lulenge (Tanzania Educational publishers L.T.D, 2002)
  • Wizara ya maliasili na utalii (Wizara ya maliasili na utalii, 2006-12)
    Taarifa za wataalam zinaonyesha kuwa vina vya maji katika Ziwa Victoria na Ziwa Rukwa vimepungua sana kutokana na uharibifu wa mazingira ambao nchi zilizoendelea hupendelea kuuita Mabadiliko ya Hali ya Hewa" ili kuficha ...
  • Chuo Kikuu Mzumbe, Skuli ya Biashara (Chuo Kikuu Mzumbe, 2018)
    Kitabu hiki ni zao la uzoefu, kujifunza na utafiti wa miaka mitano katika sekta ya nyuki. Baada ya kufanya kazi na wajasiriamali katika sekta ya misitu na nyuki, fursa katika ufugaji-nyuki zilikuwa ni wazi. Hata hivyo, ...
  • Mwandishi Hajulikani (Sokoine university of agriculture, 2022-12-22)
    Ikiwa ni tamu kuliko sukari, je asali, ni kimiminika asilia kinachochukua nafasi ya sukari? Mtaalamu wa lishe Jo Lewin anaainisha faida za kiafya na madhara ya asali. Asali hutengenezwa na nyuki. Hutokana na mkusanyiko wa ...
  • Mrosso, Hillary Thomas (Sokoine university of agriculture, 2021-07-08)
    Kiashiria ni alama ambayo inatoa taarifa au tahadhari juu jambo fulani zuri au baya na kukufanya uweze kuchukua hatua mapema. Katika uhifadhi au sayansi ya wanyamapori kiashiria ni biolojia ya viumbe ambayo hutumia kuwepo ...
  • Kok, Jaap (Sokoine university of agriculture, 2012-06-22)
    Kitabu hiki kimejikita katika mafunzo ya Uchakatajina mtunzikukitwaana kukisambaza kwa kikundi cha watu waliojihusisha katika mpango wa maendeleo ya kijiji huko Msekhocika, Zambia. Kitabu hiki kimelenga watu wenye nia ya ...
  • Komakech, C; Nshubemuki, L; Swai, R. L; Kasase, A. S (Ministry of Natural Resources and Tourism - Forestry and Bee keeping Division, United Republic of Tanzania, 2020-11)
    Plantation forestry resources are managed for the production of both timber and non-timber forestry products (NTFPs). The quality of these end-products is determined by both the quality of the germplasm used in the initial ...
  • Lusambo, L.P (Sokoine University of Agriculture, 2020-08-20)
    SUMMARY • Wood fuel is the principal source of energy, accounting for 91 per cent of the total energy consumed in Tanzania. • The dependency on wood fuel is expected to continue for the foreseeable future but the supply ...
  • Silayo, Dos S.; Kajembe, George C. (CCIAM, 2012-10-16)
    Reducing emissions from deforestation and forest degradation (REDD) in developing countries is an innovative approach for conserving forests to reduce negative impacts of climate change. REDD is considered a significant, ...
  • Mwandishi Hajulikani (United States Department of Agriculture, 1981-01-23)
    The greater wax moth is also known as the bee moth, the bee miller, the wax miller, and the web worm. In its larval stages, it damages combs and honey and is responsible for large losses to bee keepers in the United States. ...
  • Gregory, Pam (Gay Marris, UK National Bee Unit (Fera), 2011)
    Imetambulika ya kuwa ufugaji wa nyuki inaweza kuwapa watu wa mashambani njia ya kujipatia mapato zaidi. Ijapokuwa ufugaji wa nyuki sio rahisi kila wakati. Nyuki wanaweza kudunga mara nyingi bila kutarajiwa. Uvunaji wa asali ...
  • Kisenga, Narcis (MUMARU (REMP)Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji, 1999)
    Tokea zama za kale binadamu wamekuwa wakitafuta asali inayozalishwa na nyuki. Kwa azma hiyo shughuli yoyote ya ufugaji nyuki ni kuendeleza zaidi ufanisi wa haya. Binadamu na nyuki hutegemeana. Kwani kwa upande wa nyuki ...
  • TANZANIA FORESTRY RESEARCH INSTITUTION (TAFORI) (Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), 2019-06-15)
    Siku ya nyuki duniani ni maalumu kwa ajili ya kuhamasisha jamii kutambua umuhimu wa kutunza viumbe wanaochavusha mimea hususan nyuki, kutambua madhara ambayo yanakabili viumbe hao na kujua mchango wake kwa maendeleo ...
  • TAREA (WORLD AGROFORESTRY CENTRE, 2018-10-09)
    Nishati ya miti (mkaa na kuni) ni aina ya nishati inayotumika zaidi kwenye kupikia na kwenye kuota moto kusini mwa Jangwa la Sahara na hutumika kwenye biashara ndogo ndogo kama migahawa, uokaji, biashara za mamantilie, ...
  • Wizara ya Mali asili na Utalii, T (Wizara ya Mali asili na Utalii, 2013-03-13)
    Mwongozo huu ni tafsiri ya toleo la Kiingereza la Mwaka 2012. Mfuko wa Misitu Tanzania umetayarisha Mwongozo wa kuandaa maandiko ya Miradi na Utaratibu wa Kutoa Ruzuku ikiwa ni jitihada ya kuepuka upendeleo, kuwa na uwazi ...
  • Msanga, H. P (Wakala wa Mbegu za Miti, Wizara ya Maliasili na Utalii, 2017)
    akwimu zinaonyesha kuwa eneo la misitu ya asili hapa Tanzania ni hekta (ha) 48,000,000 na misitu ya kupandwa ni ha 553,000. Inakadiriwa kuwa uharibifu wa misitu ya asili ni ha 403,000 kwa mwaka. Uharibifu huu mkubwa un ...
  • Kawamala, P. M; Lyimo-Macha, J. G; Malimbwi, R. E (TARP II-SUA Project, 2005-06)
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo na Chakula (MAFS), na Chuo Kikuu cha Kilimo chaNorway (NLH), kinatekeleza mradi wa Utafiti wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima ...
  • Bakari, A; Malimbwi, R. E; Lyimo-Macha, J. G (TARP II-SUA Project, 2004)
    Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo na Chakula, na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Norway (NLH), kinatekeleza mradi wa Utafiti wa Uhakika wa Chakula na Pato la Kaya kwa Wakulima Wadogowadogo ...
  • Mwaseba, D. L; Matee, A. Z; Wambura, R. M (PANTIL - SUA, 2006)
    Shughuli za utafiti chini ya Programu ya Mageuzi ya Kilimo na Maliasili kwa Maisha Bora (PANTIL) zilianza rasmi mwanzoni mwa mwezi Januari 2006. Lengo la programu hii ambayo itatekelezwa kwa muda wa miaka minne (2005-2009) ...
  • Cramp, David (How To Content, 2008)
    This book will help you to start and continue to be a beekeeper. It offers advice in a very practical manner, with step-by-step guidance at each stage of the way. The advice and information it contains are based on general ...

View more