Ghala la Mkulima

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa jina la Kitabu

Utafutaji Uzalishaji Mazao Kwa jina la Kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Mwananchi Co. TZ, 2013-05)
    Makala iliyochapishwa katika Gazeti la Mwananchi na kudhaminiwa na BEST-AC kuhusiana na mazingira yanayotishia uzalishaji wa zao la korosho ambapo imeonekana miongoni mwa sababu hizo kuwa Kuna haja kubwa ya kupata miche ...
  • Mwandishi Hajulikani (Crop Protection Compendium - CABI, 2014-09)
    Doa jani la kijivu la mahindi umeibuka kama ugonjwa ulioweka kikwazo kwa mazao ya mahindi nchini Marekani na kusini mwa Afrika katika miaka 25 iliyopita. Ingawa ulidhaniwa kuwa aina moja ya kuvu, Cercospora zeae-maydis, ...
  • Mkomwa, S. A.; Aboud, A.A.O. (Future opportunities and challenges in agricultural learning (FOCAL) programme, 2005-05-23)
    The future opportunities and challenges in agricultural learning (FOCAL) is a NORAD funded project coordinated at Sokoine university of agriculture. The primary mission of FOCAL is to support farmers efforts towards ...
  • CTA (CTA, 2007-10-09)
    In Eastern Africa, reduced soil fertility has led to declining crop yields on many small-scale farms causing food insecurity and greater poverty. Throughout the region, soils are generally low in nitrogen and phosphorus ...
  • Mwandishi Hajulikani (Muungwana Blog, 2018-10)
    Kabichi ni moja ya mazao yaliyomo katika jamii ya mimea inayojumuisha mimea ya kaulifulawa (cauliflower ), kabichi ya kichina na kale. Kwa kawaida kabichi hupandwa kwa msimu mmoja, lakini iwapo itakuzwa kwa ajili ya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Brilliantus blog, 2016-10)
    Asili ya kilimo cha matango inaaminika kuwa ni kaskazini magharibi mwa India ambako yamekuwa yakilimwa kwa zaidi ya miaka thelathini sasa. Hata hivyo kwa sasa, matango, hustawishwa katika sehemu nyingi za kitropiki. ...
  • Joack Company, Joack Company (Joackcompany.business, 2021-10-21)
    Kilimo cha miwa ni kilimo chenye tija kwa mkulima, kilimo hiki kinaweza kufanywa na mtu yeyote yule aidha awe ameajiliwa au laaa.
  • Mwandishi Hajulikani (Kilimo Hai Blog, 2018-09)
    Pilipili mbuzi ni zao ambalo linaweza kulimwa kibiashara na kumpatia faida nzuri mkulima. Zao hili huitaji mwanga wa kutosha wa jua angalau kiasi cha masaa 6 kwa siku. Pilipili hustawi vizuri zaidi kwenye udongo wenye ...
  • Mwandishi Hajulikani (Seeds of Expertise for the Vegetable Sector of Africa - SEVIA, 2017)
    Uzalishaji wa mboga mara nyingi unahusisha matumizi ya viuatilifu vyenye kemikali. Wakulima baadhi hawawezi kumudu gharama kubwa za viuatilifu hivi, ambavyo visipotumika vizuri – huweza kuleta madhara, kama kuharibu ...
  • Wizara ya kilimo (Wizara ya kilimo, 2023-07-13)
    Kulingana na wataalamu, zabibu ina vitamini C mara nne zaidi kuliko vinywaji vingi vya juisi wakati oksidi pia hupatikana ndani yake.Zabibu pia inaweza kutumika kwa madhumuni ya matibabu katika siku zijazo. Virutubisho ...
  • Shirika la chakula duniani (Shirika la chakula duniani, 2023-08)
    Papai ni tunda la kushangaza na lenye afya. Ina 'antioxidants' ambayo hupunguza kuvimba na kupambana na magonjwa na kusaidia mtu kuonekana na umri mdogo.
  • Mwandishi Hajulikani (Desai Fruits & Vegetables Pvt. Ltd. Navsari, Gujarat India, 2016-08)
    A griculture is an important sector of Indian Economy as more than half of its population relies on Ag- riculture as principle source of income. Research and Extension systems play major role in generation and dissemination ...
  • Mwandishi Hajulikani (Selian Agricultural Research Institute - SARI, 2018-05)
    Tanzania has, for the first time, officially released two high-iron climbing bean varieties (MAC44 - Selian 14 and RWV1129 -Selian 15). Tanzania joins other countries in the region that have released high-iron bean ...
  • Chernoh, E (CABI, 2014-11)
    Funza wa vitumba ni mdudu msumbufu wa mimea mingi muhimu ya chakula, mafuta na fedha duniani kote, ikiwa ni pamoja na nafaka, mikunde, matunda na mboga. Ushambulizi mkali wa viwavi wa nondo huyu kunaweza kusababisha ...
  • Gerald, Lydia (Green Agriculture Company, 2017-05)
    Strawberry (fukasidi) hustawi katika maeneo yenye joto la wastani, na hukua kwa haraka zaidi na uzalishaji kuongezeka linapolimwa kisasa zaidi, Hasa katika Green house. Zao hili hukua vizuri katika mwinuko wa mita 1500 na ...
  • Mussa, D (Kilimo Tanzania Blog, 2018-07)
    Napenda kukuletea somo kuhusu kilimo cha Muhogo. Kama kawaida kazi yangu kubwa ni kuhakikisha unafanikiwa kwenye eneo la kilimo, kwa kukuletea elimu sahihi na fursa mbalimbali zinazohisiana na Kilimo. Wiki iliyopita ...
  • Western Region, Agricultural Research Service (Washington, D.C., 1973-05-08)
    Grasshoppers are found in every part of the United States, but serious outbreaks seldom develop east of the Mississippi River; they occur mostly in the western two-thirds of the country. Grasshoppers often severely damage ...
  • Mwandishi Hajulikani (Sowing New Seeds Project, 2005)
    Lemongrass is a popular flavouring in Indo-Chinese cookery, and is prized for the long fragrant leaves, often drunk as an infusion as well as the more strongly aromatic leafbases or culms, which are used to add a powerful ...
  • Mwalyego, Frederica, S.; Myoya, Twalib; Kabungo, David; Musei, Ahazi (TARP II SUA Project, 2005-03-17)
    Kyela is one of the districts in Mbeya region occupying an area roughly between longitude 33 fahrenheit 40" and 30 fahrenheit 00" East and latitudes 9 fahrenheit 25 and 9 fahrenheit 40 South. Most district lowlying between ...
  • Mwandishi Hajulikani (Food and Agriculture Organization of the United Nations - FAO, 2001)
    Since 1995, FAO AGSE has worked to improve the safety and efficiency of pesticides within systems of sustainable agriculture and integrated pest management (IPM). This began with the publication of guidelines to ...

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account