Ghala la Mkulima

Utafutaji Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

Utafutaji Kwa tarehe ya kutolewa kitabu

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Kisanga, P.; Mella, O.; Masako, R.; Navetta, D. (Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, 1992-10-17)
    Kijitabu hiki cha maswali na majibu ni kimojatu kati ya vijitabu kumi vinavyotolewa aa Shirika la Chakula na Lishe Tanzania kutokana na barua za wasikilizaji wa vipindi vya redio vya "Chakula na Lishe". Vijitabu hivi ...
  • Gilla, Alli (Inades Formation Tanzania, 1993)
    Kwa muda mrefu wazee wetu wamekuwa wakitegemea kilimo. Mahitaji yao yote yamekuwa yakitokana na mashamba yao na misitu. Hawakuwa na shida kubwa ya chakula au kuni Leo hii mabadiliko mengi yametokea. Watu wameongezeka ...
  • Magembe, A. (Ukulima wa kisasa, 1993-09)
    Kilimo na ufugaji wa ngombe,mbuzi au kondoo ni shughuli ambazo zina manufaa mengi kwa mkulima,kwani zinategemeana sana.Mkulima ambaye pia ni mfuaji hunufaika zaidi kuliko yule asikuwa na mifugo:na mfugaji naye pia hunufaika ...
  • Mwandishi Hajulikani (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), 1994)
    Kitabu hiki kimechapishwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (FAO). Dhumuni ni kumpatia mkulima elimu juu ya ufugaji bora wa samaki katika maji matamu (yasio na chumvi) ikiwa ni pamoja na kufahamu namna ...
  • Inades Formation Tnzania (Sokoine university of agriculture, 1994)
    Karanga ni moja ya mazao ambayo yana kiasi kikubwa cha mafuta hadi kufikia asilimia 30.Punje ya karanga pia ina kiasi kikubwa cha protini hadi kufikia asilimia 44.Hivyo karanga zinaweza kutoa hivi viini lishe mbalimbali.Faida ...
  • Maganga, S. (TFNC Readers series, 1994)
    Mwili wa binadamu unahitaji maji na virutubisho vya aina mbali mbali. Virutubisho hivyo ni vile vya aina ya nishati, utomwili, madini na vitami-ni. Vyote hivi huhitajika katika kulinda na kujenga mwili ikiwa ni pamojana ...
  • Missano, H.; Temalilwa, C. R.; Maganga, S. (Idara ya Elimu na Mafunzo ya Lishe Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, 1994-04-14)
    Kijitabu hiki ni kimojawapo kati ya vijitabu vyenye lengo la kuelimisha jamii juu ya masuala mbali mbali ya lishe. Wazo la kuandika kijitabu hiki limetokana na ukweli kwamba hakuna maandiko ya kutosha yanayohusu elimu ya ...
  • Ostberg, Wilhelm (UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, 1994-05-23)
    Mpango wa utafiti wa Binadamu na Mazingira Mikoa ya Kati Tanzania unaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Institute of Resource Assessment (IRA), Chuo Kikuu cha Dar es-salaam, nchini Tanzania, na Environment and Development ...
  • Mwandishi Hajulikani (Changia Maendeleo Mafia - CHAMAMA, 1994-08)
    Hotuba hii imetolewa tarehe 1 Agosti 1994 Lizu Hotel, Kilindoni, Mafia na Professor Patricia Caplan, BA, MA, Ph.D.Goldsmiths College, University of London ambaye alisema Naona nimepewa heshima kubwa kuweza kupata nafasi ...
  • Kimboka, Dr. Sabas (Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, 1994-08-13)
    Upungufu waa madini ya joto mwilini ni tatizo kubwa la kiafya hapa Tanzania. Idadi ya watu wanaoathirika inakadiriwa kuwa milioni 5.6 au asilimia 25 ya watu wote. Madini ya joto hupatikana ardhini na huchukuliwa na aina ...
  • Maganga, S. J.; Kimboka, S.; Tatala, S.; Mduma, B.; Ballart, A.; Temalilwa, C. R.; Missano, H. M.; Kisanga, P.; Magalia, A. W.; Ng'wawasya, B. M.; Kayombo, J. K.; 5imonje, L. W.; Ndossi, G. D.; Rwebangira, C. G.; Kayombo, L. C.; Ntoga, B. A. (Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, 1994-10-11)
    Upungufu wa wekundu wa damu ni moja ya matatizo sugu ya utaptamlo yanayoathiri watu na kusababisha vito vingi hapa Tanzania. Kutokana na takwimu zilizopo Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, inakadiriwa kuwa asilimia ...
  • White, C (1995)
    Karibu I would first of all like to thank all those who wrote to Anna with the recipes and quickly remind all those with good intentions to send more as the recipes can be added at a later date. So, thanks go to ...
  • Ravindran, V (Food and Agricultural Organization - FAO, 1995)
    Mwongozo uliotolewa wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa unaoelezea na kuchambua matumizi ya muhogo na viazi vitamu kama chakula cha wanyama.
  • Braun, M (Kituo cha utafiti wa kilimo Ukiriguru, 1995)
    Viazi vitamu ni mojawapo ya vyakula ambavyo hutumika sana nchini, watu wengi hutumia kama kitafunwa cha asubuhi,Pia wengine hutumia kama chakula ambapo hupikwa kama mlo wa kawaida wakati wa mchana au usiku.Hivyo basi kuna ...
  • Mashaka, R. I (Chuo cha kilimo cha Sokoine, 1995)
    Kitabu hiki kinampatia mkulima mbinu bora za kunyunyizia dawa kwenye pamba ili kuondoa vijidudu vinavyoharibu ukuaaji wa pamba. Pia jinsi ya kutumia zana za kilimo na mavazi sahihi wakati wa kunyunyizia dawa. Mkulima ...
  • CFU-Tanzania (CROPBASE (T) L, 1996)
    Japokuwa kitengo cha Kilimo Hifadhi (CFU) hakihimizi matumizi ya Viua Magugu vya aina fulani au Viuatilifu vingine vya kukinga mimea, wakulima wanafahamu kuwa Viua Magugu vikitumika kwa usahihi aidhaa kwenye Kilimo Hifadhi ...
  • Mwandishi Hajulikani (Heifer Project International, 1996)
    Ufugaji wa ngamia unafanywana watu wengi katika mataifambalimbali ulimwenguni kw ajili ya kujipatia maendeleo katika sehemu zilizo na ukame.Ngamia wamekuwa wakisaidia katika shughuli nyingi kama vile kubeba mizigo, kubeba ...
  • Maerere, A.P (Sokoine University of Agriculture, 1996)
    UTANGULIZI Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda ...
  • Maerere, A. P; Kusolwa, P. M; Msogoya, T. S; Mgembe, E. R; Msita, H. B; Turuka, F. M; Senkondo, F. J (SUA - TU linkage Project, 1997)
    Kilimo cha bustani kinahusika na uzalishaji wa mazao ya aina ya mboga, matunda, viungo na mimea ya mapambo. Kilimo cha bustani ni chanzo cha ajira na pato kwa wakulima na watu wengine. Mboga na matunda yanatupatia virutubisho ...
  • Mwandishi Hajulikani (CENTRAL POULTRY DEVELOPMENT ORGANISATION (SOUTHERN REGION) -India, 1998)
    Ducks occupy an important position next to chicken farming in India. They form about 10% of the total poultry population and contribute about 6-7% of total eggs produced in the country. Ducks are mostly concentrated in the ...

Tafuta kwenye mkulima

Peruzi

My Account