Ghala la Mkulima

Kilimo bora cha Vitunguu.

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

dc.date.accessioned 2023-03-01T10:54:11Z
dc.date.available 2023-03-01T10:54:11Z
dc.date.issued 2016
dc.identifier.uri http://10.10.11.5/xmlui/handle/123/694
dc.description.abstract Kilimo cha vitunguu maji ni muhimu sana hapa Tanzania. Vitunguu vinaweza kutumika kama zao la chakula au la biashara kwa aina zote za wakulima, wakubwa na wadogo. Zao la vitunguu linazalishwa kutokana na mbegu, na miche inakuzwa kwenye kitalu kabla ya kupandikizwa shambani. Miche inakuwa na ‘kuzaa’ vitunguu. Vitunguu vikikomaa, vinavunwa na kuuzwa au kuhifadhiwa ghalani. Wingi na ubora wa mavuno hutegemea; hali ya hewa, aina ya vitunguu, aina ya mbegu bora, usimamizi wa kilimo bora, uangalizi wakati wa kuvuna, usafirishaji na uhifadhi bora. Mavuno ya vitunguu kwa ekari bado ni madogo sana hapa nchini (kiasi cha tani nne kwa ekari) na upotevu wa mazao baada ya kuvuna ni mkubwa (kiasi cha 50% – 80%) kutokana na uhifadhi duni. Hivyo ukiwa kama mkulima unahitaji utaalamu wa kilimo bora cha vitunguu na njia bora za kuhifadhi ili kuongeza uzalishaji na kipato. en_US
dc.description.sponsorship SUA en_US
dc.publisher Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo en_US
dc.subject Vitunguu en_US
dc.subject Kilimo en_US
dc.title Kilimo bora cha Vitunguu. en_US
dc.type Article en_US


Files in this item

kinaonekana kwenye vifungu vifuatavyo

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account

Takwimu