Mwandishi Hajulikani (Kenya Agricultural Research Institute - KARI, 2008)
Ng’ombe anayelishwa nyasi pekee hawezi kufikia upeo wake wa maziwa. Hivyo, kuna haja ya kuwapa nyongeza.
Nyongeza za kununua kama vile chakula cha ng’ombe kinakisiwa kuwa asilimia 20 ya gharama yote ya maziwa na hiv ...