Mwandishi Hajulikani (2012-08)
Silage ni chakula maalum kinachotengenezwa kwa kutumia aina yoyote ya malisho yanayofaa
kwa mifugo kama majani, nyasi, mabua ya mahindi, mtama na ufuta. Kwa kawaida silage
hutengenezwa wakati wa mvua ambapo majani hukua ...