Mbassa, G. K; Mgongo, F. O. K; Luziga, C; Kashoma, I. P. B; Kipanyula, M. J
(PANTIL - SUA, 2009)
Katika nchi za Afrika ya Mashariki, Kati na Kusini magonjwa
makuu ya mifugo ni yale yanayosababishwa na viini vidogo
vya' chembechembe moja vinavyoitwa Protozoa, ambavyo
husambazwa kwa wanyama na aina mbalimbali za kupe ...