Ghala la Mkulima

Upungufu wa wekundu wa damu (Anaemia)

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

dc.contributor.author Maganga, S. J.
dc.contributor.author Kimboka, S.
dc.contributor.author Tatala, S.
dc.contributor.author Mduma, B.
dc.contributor.author Ballart, A.
dc.contributor.author Temalilwa, C. R.
dc.contributor.author Missano, H. M.
dc.contributor.author Kisanga, P.
dc.contributor.author Magalia, A. W.
dc.contributor.author Ng'wawasya, B. M.
dc.contributor.author Kayombo, J. K.
dc.contributor.author 5imonje, L. W.
dc.contributor.author Ndossi, G. D.
dc.contributor.author Rwebangira, C. G.
dc.contributor.author Kayombo, L. C.
dc.contributor.author Ntoga, B. A.
dc.date.accessioned 2022-04-25T05:43:14Z
dc.date.available 2022-04-25T05:43:14Z
dc.date.issued 1994-10-11
dc.identifier.isbn 997691031 1
dc.identifier.uri http://10.10.11.5/xmlui/handle/123456789/648
dc.description.abstract Upungufu wa wekundu wa damu ni moja ya matatizo sugu ya utaptamlo yanayoathiri watu na kusababisha vito vingi hapa Tanzania. Kutokana na takwimu zilizopo Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, inakadiriwa kuwa asilimia 32 ya watu milioni 23 (Sensa ya mwaka 1988) wanaathirika. Wanaoathirika zaidi ni wanawake wajawazito na watoto walio chini ya umri wa miaka mitano. Takwimu hizo zinaonyesha kuwa wanawake wajawazito wanaoathirika ni asilimia 80 na watoto chini ya umri wa miaka mitano ni asilimia 45. Tatizo la upungufu wa wekundu wa damu hutokana na sababu nyingi zikiwemo ulaji duni yaani kutokula chakula cha mchanganyiko na cha kutosheleza mahitaji ya mwili. Magonjwa mbalimbali hasa malaria na minyoo ni chanzo kimojawapo cha tatizo. Vile vile uzazi wa karibu karibu huchangia upungufu wa wekundu wa damu. Tatizo la upungufu wa wekundu wa damu hapa nchini limeenea zaidi sehemu ambazo magonjwa ya safura, malaria na kichocho hujitokeza kwa wingi. Kitabu hiki kina lengo la kuwaelimisha na kuwaongezea wataalam wa ugani na viongozi katika ngazi ya wilaya, kata na kijiji ujuzi, maarifa na uwezo wa kuelewa chanzo, dalili na athari za upungufu wa wekundu wa damu katika jamii. Maarifa haya yatawawezesha kuishirikisha jamii katika kuchunguza, na kupima ukubwa wa tatizo, kufanya uchambuzi wa kina wa tatizo na kubuni mbinu za kulitatua. Kitabu kina sura tano. Sura ya kwanza inazungumzia dhana ya utapiamlo na jinsi inavyotumika katika kuchanganua tatizo la upungufu wa wekundu wa damu. Sura ya pili inaelezea umuhimu wa madini ya chuma, vitamini aina ya folic acid na B12 katika mwili wa binadamu na madhara yatokanayo na upungufu wake. Sura ya tatu inaelezea dalili na athari za upungufu wa wekundu wa damu. Sura ya nne inaelezea mbinu za kukabili tatizo la upungufu wa wekundu wa damu na sura ya tano inaelezea majukumu na wajibu wa jamii katika ngazi mbalimbali en_US
dc.publisher Shirika la Chakula na Lishe Tanzania en_US
dc.subject Wekundu wa damu en_US
dc.subject Upungufu wa damu en_US
dc.title Upungufu wa wekundu wa damu (Anaemia) en_US
dc.title.alternative Kitabu kwa wafanyakazi wa ugani en_US
dc.type Book en_US


Files in this item

kinaonekana kwenye vifungu vifuatavyo

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account

Takwimu