Ghala la Mkulima

Kilimo bora cha choroko

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

dc.contributor.author Mmbando, Frank
dc.date.accessioned 2024-04-04T06:43:14Z
dc.date.available 2024-04-04T06:43:14Z
dc.date.issued 2003
dc.identifier.citation https://www.tari.go.tz en_US
dc.identifier.uri http://10.10.11.5/xmlui/handle/123/838
dc.description.abstract Choroko ni zao jamii ya mikunde, ni zao la chakula na biashara. Choroko hustawi katika udongo wa aina tofauti usiotuamisha maji. Hustawi zaidi kwenye ukanda wa chini na wa kati, yaani mita 0 hadi 1500 kutoka usawa wa bahari, ingawa kuna mbegu nyingine zinaweza kukubali zaidi ukanda juu. Pia choroko ni zao linalostahimili ukame. Choroko hukomaa kwa siku 60 hadi 65 kulingana na aina.Tanzania tuna aina mbile zaMbegu za choroko ambazo ni Nuru iliyopendekezwa kwa wakulima mwaka 1977 yenye rangi ya kijaniinayong’ara wakati mbegu aina ya Imara (1982) ina rangi isiyo na mng’ao.Choroko hazihitaji maji mengi hivyo hupandwa miezi miwili kabla ya kumalizika kwa mvua za masika, pia choroko huweza kupandwa kipindi cha mvua zamuda mfupi (vuli). Zao hili likilimwa vizuri hutoa mavuno kati ya gunia 10 hadi gunia 15 za ujazo wa kilo 100 kwa hekalimoja. en_US
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Tari en_US
dc.subject Kilimo en_US
dc.subject Choroko en_US
dc.title Kilimo bora cha choroko en_US
dc.type Learning Object en_US


Files in this item

kinaonekana kwenye vifungu vifuatavyo

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account

Takwimu