Ghala la Mkulima

Kilimo bora cha Mananasi.

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

dc.date.accessioned 2023-03-01T10:57:19Z
dc.date.available 2023-03-01T10:57:19Z
dc.date.issued 2021-11
dc.identifier.uri http://10.10.11.5/xmlui/handle/123/695
dc.description.abstract Nanasi ni tunda la kitropiki, linalopendwa na walaji wengi kwa sababu ya ladha yake tamu na harufu yake nzuri. Tunda hili laweza liwa mara tu baada ya kuvunwa, baada ya kulipika, au kama juisi. Nanasi ni chanzo kizuri cha vitamin A na B, pia inakiwango kingi tu cha vitamin C pamoja na madini kama vile: patasiam, magnesiam, kalsiam, na madini chuma. Asili ya nanasi inaaminika kuwa ni Brazil na Paraguay huko Amerika ya Kusini. Hapa Tanzania, nanasi hulimwa zaidi maeneo ya Bagamoyo, Kibaha (Pwani), Tanga, Mtwara, Lindi, Geita na Mwanza. Lakini pia maeneo yote ya pwani ya Tanzania yanafaa kwa kilimo cha nanasi. en_US
dc.publisher Chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo en_US
dc.subject Mananasi en_US
dc.subject Shamba en_US
dc.subject uvunaji en_US
dc.title Kilimo bora cha Mananasi. en_US
dc.title.alternative Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi. en_US
dc.type Article en_US


Files in this item

kinaonekana kwenye vifungu vifuatavyo

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account

Takwimu