Mwandishi Hajulikani (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), 1994)
Kitabu hiki kimechapishwa na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa (FAO). Dhumuni ni kumpatia mkulima elimu juu ya ufugaji bora wa samaki katika maji matamu (yasio na chumvi) ikiwa ni pamoja na kufahamu namna ...