Batare, M
(Kituo cha Utafiti Mlingano - ARI, 2018-01)
Zao la mkonge liliingizwa nchini mwaka 1892 na mtaalamu wa kijerumani Dr. Richard Hindorff
ambaye alikuwa ni mtafiti wa mimea na udongo. Mtaalamu huyo alichukua miche 1000 kutoka
pwani ya Mexico kwenye jimbo la Yuctan ...