xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

dc.contributor.author Kisanga, P.
dc.contributor.author Mella, O.
dc.contributor.author Masako, R.
dc.contributor.author Navetta, D.
dc.date.accessioned 2022-06-27T07:11:33Z
dc.date.available 2022-06-27T07:11:33Z
dc.date.issued 1992-10-17
dc.identifier.isbn 9976 910 24 X
dc.identifier.uri http://10.10.11.5/xmlui/handle/123456789/656
dc.description.abstract Kijitabu hiki cha maswali na majibu ni kimojatu kati ya vijitabu kumi vinavyotolewa aa Shirika la Chakula na Lishe Tanzania kutokana na barua za wasikilizaji wa vipindi vya redio vya "Chakula na Lishe". Vijitabu hivi ni: 1. Ujauzito 2. Maziwa ya Mama 3. Ulikizaji 4. Ukuaji wa mtoto 5. Kuharisha 6. Surua 7. Anemia 8. Upungufu wa Vitamini A· 9. Upungufu wa Madini ya joto 10. Muhogo Kila kijitabu kina maswali 10 tu na kijitabu kitakachofuaria katika fani moja kitaendeleza idadi ya maswali. Vijitabu hivi vinafaa sana kusomwa na wanafunziwa shule za msingi na sekondari na watu wote vijijini na mijini wanaopenda kuelewa zaidikuhusu Lishe bora. Mara kwa mara Shirika la Chakula na Lishe litatoa zoezi katika redio au gazeti la kiswahili kwa ajili ya watu wa vikundi mbali mbali na atakayepata alama nyingi atazawadiwa. en_US
dc.language.iso other en_US
dc.publisher Shirika la Chakula na Lishe Tanzania en_US
dc.subject Mama mjamzito en_US
dc.subject Watoto wachanga en_US
dc.subject Mtoto anayenyonya en_US
dc.subject Faida ya kunyonyesha en_US
dc.title Maziwa ya mama en_US
dc.type Book en_US


Files in this item

kinaonekana kwenye vifungu vifuatavyo

xmlui.ArtifactBrowser.ItemViewer.show_simple

Tafuta kwenye mkulima


Peruzi

My Account

Takwimu