Kimboka, Dr. Sabas
(Shirika la Chakula na Lishe Tanzania, 1994-08-13)
Upungufu waa madini ya joto mwilini ni tatizo kubwa la kiafya hapa Tanzania. Idadi ya watu wanaoathirika inakadiriwa kuwa milioni 5.6 au asilimia 25 ya watu wote.
Madini ya joto hupatikana ardhini na huchukuliwa na aina ...