Ghala la Mkulima

Utafutaji Kwa Somo "Uchumi"

Utafutaji Kwa Somo "Uchumi"

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mwandishi Hajulikani (Serikali ya Mapinduzi Zanzibar - SMZ, 2012)
    Utafiti huu wa athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwa uchumi Zanzibar umetoa tathmini ya athari kubwa za mabadiliko ya tabianchi kwa visiwa hivi,njia muhimu za kuweza kukabiliana nazo na fursa ya kupunguza ongezeko la ...
  • Mutalemwa, Darlene K; Mutalemwa, Deo P (Policy Forum, 2014)
    Mandhari ya hali halisi ya ushirikiano wa kimaendeleo inabadilika huku kukiwa na ongezeko la washirika wapya ambao ni Brazil, Urusi, India, China na Afrika Kusini, unaojulikana kwa pamoja kama BRICS . Washirika hawa wapya ...
  • Mwandishi Hajulikani (Wizara ya Fedha na Mipango - Tanzania, 2016-01)
    Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2016/17 yanalenga kutekeleza Mpango Elekezi wa Miaka 15 (2011/12 – 2025/26) na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025. Mapendekezo haya ni msingi wa kuandaa Mpango wa Maendeleo ...
  • Mwandishi Hajulikani (Economic and Social Research Foundation - ESRF, 2017)
    Mradi Huu unatekelezwa kwa ushirikiano wa Halmashauri za Wilaya Sita, Jeshi la Kujenga Taifa Na Vikundi vya Akina Mama Na Vijana. Unasimamiwa na Taasisi ya Tafiti za Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Na Kufadhiliwa Na Shirika ...
  • Mwandishi Hajulikani (Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - Mkoa wa Simiyu, Tanzania, 2017)
    Karibu Mkoa wa Simiyu. Mwongozo wa Uwekezaji wa mkoa wa Simiyu umeandaliwa sambamba na sera ya uwekezaji ya Tanzania. Unaainisha fursa za uwekezaji zinazopatikana katika mkoa wa Simiyu. Vile vile unaendana na dira ya mkoa ...
  • Mwandishi Hajulikani (Kitengo cha Kuondoa Umaskini,Wizara ya Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Dar es Salaam, 2005)
    Upunguzaji wa umaskini wenye maana nchini Tanzania utategemea ukuaji uchumi wa viwango vikubwa katika maeneo ya vijijini, hususan katika sekta ya kilimo. Huu ni muhtasari wa vikwazo vya maendeleo vinavyokabiliwa na wazalishaji ...

Tafuta kwenye mkulima

Peruzi

My Account