Taasisi ya utafiti wa kilimo
(Tari, 2023)
Mbegu ya mchikichi ina kokwa gumu ambalo linazuia mbegu kunyonya maji ili
iweze kuota. Hali hii husababisha mbegu kuwa na ubwete (seed dormancy) yaani hali ya kushindwa kuota. Hivyo ili uweze kuotesha lazima uvunje ubwete ...