Mwandishi Hajulikani (EPINAV - SUA, 2013)
Mojawapo ya kikwazo kikubwa kinachomkwamisha mkulima mdogo kulima kwa tija
ni kumudu gharama za matumizi ya pembejeo za kilimo (mbolea na mbegu bora).
Katika kuhakikisha Serikali ya Tanzania inamsaidia mkulima kumudu ...