Ghala la Mkulima

Utafutaji kwa Mwandishi "wizara ya kilimo"

Utafutaji kwa Mwandishi "wizara ya kilimo"

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • wizara ya kilimo (Nuta Press, 1971)
    Kabla ya Tanzania kupata uhuru, serikaii ya kikoloni ilijiingiza sana katika mazao ya biashara na nchi za nje na haikujali sanajuu ya mazao yaliyotumika humu nchini hasa yale ya chakula ambayo wananchi hutumia. Siasa ...
  • Karanga 
    wizara ya kilimo (Sokoine university of agriculture, 1987)
    Karanga ni zao zuri sana ambalo hutumika kama chakula na mafuta pia,karanga hupandwa sehemu tofauti nchini Tanzania.karanga hupandwa kwa kufuata kanuni zifuatazo kabla ya kupanda, chagua mbegu ambazo hazishambuliwi na ...
  • wizara ya kilimo (Sokoine university of agriculture, 2023-11-18)
    Mmbono kwa kitaalam Jatropha curcas ni mti jamii ya nyonyo wenye mbegu zitoazo mafuta yenye sifa kama nyonyo.Huota kwenye maeneo ya nyanda kame na yenye upungufu wa rutuba. Mmea hauliwi na mifugo wala wanyama pori na ...
  • wizara ya kilimo (Sokoine university of agriculture, 2023-12-01)
    Wakulima wa pamba ni wadau wakuu katika sekta ndogo ya pamba huku mchango wao ndio unaotegemewa zaidi kuiinua tasnia ya pamba. Pamba inalimwa na wakulima wadogo wenye mashamba ya ukubwa wa kuanzia ekari 1 hadi ekari 10.Sehemu ...

Tafuta kwenye mkulima

Peruzi

My Account