Ricc, Silvia; Mwasenga, Scola; Nyenza, Oscar; Mtonda, Shabani; Kadinda, Hans; Nyenga, Pima
(Sokoine university of agriculture, 2012)
Bonde la Mto Kilombero ni eneo tajiri na lina rutuba tele. Rutuba na wingi wa maji unatokana na kuwa jirani na Misitu ya Milima ya Udzungwa.Mazao makuu katika bonde hili ni miwa, mpunga, mahindi, matunda na ...