Ostberg, Wilhelm
(UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM, 1994-05-23)
Mpango wa utafiti wa Binadamu na Mazingira Mikoa ya Kati Tanzania unaendeshwa
kwa ushirikiano kati ya Institute of Resource Assessment (IRA), Chuo Kikuu cha Dar es-salaam, nchini Tanzania, na Environment and Development ...