Lekule, F. P; Muhairwa, A; Ngowi, Helena; Mushi, D; Kimbi, E. C
(a Mradi wa SLIPP - Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo - SUA, 2010)
Ufugaji wa Nguruwe ni kati ya shughuli zinazokuwa haraka katika Afrika Mashariki na ya Kusini. Ukuaji wa miji na ongezeko la watu kumeendana na ongezeko kubwa la mahitaji ya protini ya wanyama. Uwezo wa kukua haraka, ubora ...