Laswai, Henry S.
(Program ya PANTIL chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo, 2009-06-15)
Soya ni zao linalopatikana katika mimea ya jamii ya mikunde ambayo inahusisha mazao mengine kama maharage, njugu mawe, mbaazi, kunde, fiwi, dengu na choroko. Zao hili linaaminika kuwa asili yake ni Asia ya mashariki. Mbegu ...