Malekani, Andrew
(Sokoine University of Agriculture, 2021-05-20)
Nchini Tanzania viazi mviringo ni zao muhimu kwa chakula na biashara. Kwa uzalishaji, viazi mviringo ni zao la tatu baada ya mahindi na mpunga. Zao hili ni muhimu kwa usalama wachakula, kuboresha lishe, ajira na kuongeza ...