taasisi ya Kilimo Naliendele
(Taasisi ya kilimo Naliendele, 2022-06-25)
Blaiti ni moja ya magonjwa makubwa yanayoathiri uzalishaji wa korosho. Ugojwa huu unasababishwa na vimelea aina ya uyoga. Nchini Tanzania ulianza kuonekana mwaka 2004 na kwasasa umeenea katika maeneo mengi yanayolima korosho