Mwandishi Hajulikani (Kituo cha Utafiti wa Kilimo - KATRIN, 2005)
Mpunga ni zao la pili la chakula muhimu kwa linalolimwa sehemu nyingi nchini Tanzania. Umuhimu wa zao hili umeongezeka kuanzia muongo uliopita kutokana na jamii za mijini na vijijini kupendelea zaidi kula wali na kupunguza ...