taasisi ya Kilimo Naliendele
(Taasisi ya kilimo Naliendele, 2022-06-25)
Moja ya matatizo makubwa ya uzalishaji wa mazao ya mikorosho ni ugonjwa wa Ubwiri unga ambao husababishwa na vimelea aina ya kuvu na vimelea hizi huweza kusababisha upungufu wa uzalishaji kwa asilimia 70