Mwandishi Hajulikani (Kilimo Hai Blog, 2018-06)
Katika nchi yetu, wakulima wengi wameshazoea kutumia ng'ombe au punda kukokota plau au
mkokoteni. Wanafurahi uzoefu huo kwa sababu wameshapata faida nyingi. Wakulima wengine bado
wanasitasita kutumia ng'ombe wao kufanya kazi.