Mwandishi Hajulikani (Pongwe farm & Kii Africa., 2017)
Pilipili Mbuzi ni aina ya pilipili kali inayolimwa na kutumiwa katika maeneo mengi na maarufu katika jamii ya mimea ya Pilipili.
Pilipili hii ina wingi wa Vitamin A na C na hutumika kama kiungo kwa chakula.
Pia inaweza kukaushwa