Shetto, M. C
(Mradi wa uhakika wa Chakula na Pato la kaya kwa wakulima wadogowadogo Tanzania - TARP II SUA, 2013-06)
Maelezo juu ya mwenendo wa Warsha ya Sita ya Wakulima Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kuhusu mazao jamii ya mikunde ili kuchambua, kutambua na kubaini umuhimu wa mazao hayo kwa chakula na pato la kaya.