Mwandishi Hajulikani (Kii Afrika Ltd, 2017)
Passion ni mimea inayotambaa na hulimwa zaidi mikoa ya
Tanga, Kilimanjaro, Arusha, Morogoro, Iringa, Pwani, Dar es salaam, Mbeya na Kigoma.
Wastani wa uzalishaji wa Passion hapa nchini ni Tani 1,080 kwa mwaka.
Matunda ...