Ghala la Mkulima

Utafutaji Kwa Somo "Ndizi"

Utafutaji Kwa Somo "Ndizi"

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Msogoya, T. J; Mgembe, E. R; Maerere, A. P; Kusolwa, P. M; Nsemwa, E. T. L (PANTIL, 2009)
    Kijarida kinachoelezea uzalishaji bora wa miche ya migomba na jinsi ya kuitunza shambani hadi ianze kutoa mazao na kupeleka sokoni
  • Mwandishi Hajulikani (Tanzania Organic Agriculture Movement - TOAM, 2018)
    Kulingana na Shirikisho la kimataifa la harakati za kilimo hai (IFOAM, 2008), Kilimo-hai kinafafanuliwa kuwa ni “ mfumo wa uzalishaji ambao unaendeleza afya ya udongo, mifumo ya ikolojia na watu. Kilimo hiki hutegemea ...
  • Mwandishi Hajulikani (Bustani ya Tushikamane - Kilimo Hai, 2014)
    Ndizi ni zao linalolimwa katika ukanda wa tropiki na hutumika kwa ajili ya kupikia na kama matunda. Vilevile ndizi huweza kutengenezea starch, chips, pombe (mbege), ama kukaushwa na kuuzwa kama matunda yaliyokaushwa. Wakati ...
  • Mwandishi Hajulikani (Biovision, 2012)
    Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki katika toleo hili kuna makala zifuatazo: Wakulima wanatumia taarifa; Mradi wa ng’ombe, zingatia haya! ; Usiruhusu udongo uharibiwe; Guatemala: Malisho wakati wa kiangazi; Mayai ...
  • Boa, E (Africa Soil Health Consortium, 2014)
    Ugonjwa wa Banana Xanthomonas wilt (BXW) umepewa jina lake kutoka kwa bakteria wanaoambukiza na hatimaye kuua mgomba. Ugonjwa huo umeongezeka sana Uganda tangu ulipopatikana kwa mara ya kwanza mwaka wa 2001 na sasa umeenea ...
  • Mwandishi Hajulikani (Idara ya Sayansi za mimea na bustani - SUA, 2017)
    Kipeperushi kinachotoa maelezo ya jinsi ya kupanda na kutunza migomba shambani
  • Shirika la chakula Duniani (Shirika la chakula duniani, 2023-07-09)
    Ndizi ni mojawapo ya tunda linalopendwa zaidi duniani, likiwa limesheheni vitamini na madini.Ziko faida kadhaa za kiafya za ndizi ambazo ni muhimu kwa mlaji kula tunda hili. Faida hizi ni pamoja na Inasawazisha maji ya ...

Tafuta kwenye mkulima

Peruzi

My Account