Ghala la Mkulima

Utafutaji Kwa Somo "Ndigana kali"

Utafutaji Kwa Somo "Ndigana kali"

weka kwa: Mpangilio: Matokeo:

  • Mbassa, Gabriel K. (Program ya PANTIL ( Chuo kikuu cha Sokoine), 2009-03-12)
    Katika nchi za Africa mashariki, kati na kusini magonjwa makuu ya mifugo ni yale yanayosababishwa na viini vidogo vya chembechembe vinavyoitwa protozoa ambavyo husambazwa kwa mifugo na aina mbalimbali za kupe na ndorobo. (mbungo)
  • Mwandishi Hajulikani (International Livestock Research Institute - ILRI, 2016)
    Ndigana kali ni ugonjwa hatari wa ng’ombe unaoenezwa na kupe wekundu wanaokaa katika masikio ya ng’ombe. Ugonjwa huu unasababisha vifo na hasara kubwa kiuchumi.

Tafuta kwenye mkulima

Peruzi

My Account