Mwandishi Hajulikani (Kikundi cha Maarifa ya Ujifunzaji, Kanda ya Afrika - Benki ya Dunia, 2004)
Mwaka 1996 tulibuni dira kwa ajili ya Benki ya Dunia kuwa Benki ya Maarifa inayotoa mawazo na hali kadhalika rasilimali za kifedha. Kwenye Mkutano wa Kwanza wa Maarifa ya Dunia mjini Toronto mwaka 1997, viongozi wa kisiasa ...