Mwandishi Hajulikani (Biovision, 2016)
Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki - toleo hili lina makala juu ya:- Ni muhimu kwa ng’ombe wa maziwa kupata madini yanayohitajika mwilini; Kuvu: Sumu hatari kwa afya ya binaduma na wanyama; Utoaji wa dawa za sindano ...