Mtalula, Mohamed M.
(mogriculture.com, 2016-06-11)
Kilimo cha vitunguu maji ni muhimu sana hapa Tanzania. Vitunguu vinaweza kutumika kama zao la chakula au la biashara kwa aina zote za wakulima, wakubwa na wadogo.
Zao la vitunguu linazalishwa kutokana na mbegu, na miche ...