Mwandishi Hajulikani (Sustainable Agriculture Tanzania - SAT, 2016-11)
Jarida la kilimo endelevu Afrika Mashariki - Makala juu ya usindikaji wa mihogo, ufugaji wa kuku, usindikaji wa Rosella, ufugaji wa mbuzi wa maziwa, njia za kutumia dawa za asili kuzuia magonjwa na wadudu katika mimea na mifugo.