WIZARA YA KILIMO
(CABI, 2018)
Mwongozo huu unatoa maelezo juu ya teknolojia za kufuata ili kuwezesha
wakulima kufanya maamuzi kabla ya kuzalisha viazi mviringo,hasa katika
matumizi ya mbegu bora, mbolea, viuatilifu na mbinu bora za usimamizi wa
kilimo ...